Recent content by Revolutionary

  1. Revolutionary

    Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Ipo kimya kimya kwa style ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe kuna fisi, soma vifungu 144. (e), 145. (g) 188. (a) vya ilani hiyo. Kwenye utangulizi wa ilani hiyo haitajwi wala kwenye kampeni haizungumziwi, ila in short ukiipigia kura CCM umepitisha kukamilisha utekelezaji wa Katiba Pendekezwa ya...
  2. Revolutionary

    Hivi Wakenya wametushinda nini?

    Napenda sana JF ingetawaliwa na mabishano kama haya kinyume na yale ya kusakamana sisi kwa sisi yasiyo na kichwa wala miguu... Yaani leo mminikuna kweli kweli... Kimsingi hawa jamaa hawana cha kutushinda kiutajiri wa nchi, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii. Kiuchumi ingawa wao wako juu lakini...
  3. Revolutionary

    Mpaka wa Tanganyika na Zanzibar (Muungano ukivunjwa)

    Hakuna dhambi kujijuza ukweli wa mambo, muungano tunautaka sana, kazi kwa hawa wenzetu wazenji wasioutaka muungano tunawaandalia mazingira mahsusi, wajue kwamba things will never be the same, ni wao ndio watakuja kuanza kutukumbusha historia ya udugu na uhusiano wetu pale tutakapo afiki kuvunjwa...
  4. Revolutionary

    Mpaka wa Tanganyika na Zanzibar (Muungano ukivunjwa)

    Mama mdogo hii safi sana, najiuliza muungano ukivunjika mpaka wa Zanzibar utakua wapi? Maana hivi visiwa ni vidogo sana. Nadhani Mpaka wa Tanganyika utavizunguka visiwa vya unguja na pemba kama South africa ilivyoizunguka Lesotho. Sent from my BlackBerry XXXx using JamiiForums
  5. Revolutionary

    Wanao mwandama Zitto kwa sababu ana nia ya kuwania urais ni wabakaji wa democrasia

    Kazi ya Zitto kisiasa nchini ni outstanding, hili litabakia kusimama milele, na ndio linanifanya nimsupport siku zote, huu upuuzi wa kilikwenda kikarudi mtaushabikia wenyewe. Siasa za Tanzania zimechafuliwa na kundi fulani la watu wachafu mbaya zaidi wenye utendaji mbovu. Kwangu mtu atumie...
  6. Revolutionary

    Mpaka wa Tanganyika na Zanzibar (Muungano ukivunjwa)

    Nadhani hili ndio lililotokea tukaacha pending hadi leo suala la mpaka wetu na Malawi. Ni wazi tunatakiwa tuendeleze vita ya kuendelea kuikomboa na kuiunganisha Afrika, wakati tukikabili changamoto zetu in peaceful coexistence. Sent from my BlackBerry XXXX using JamiiForums
  7. Revolutionary

    Mpaka wa Tanganyika na Zanzibar (Muungano ukivunjwa)

    Hivi jamani naomba tu kuuliza tujuzane, kuhusu historia ya mpaka wa Tanganyika na Zanzibar incase (in worst case scenario) tunavuja huu muungano wetu na kubakiwa na Tanganyika yetu. Je mpaka uko wapi katikati ya bahari? Pwani ya Dar es Salaam au pwani ya Zanzibar, na upi mpaka halali? Ili tujue...
  8. Revolutionary

    Usia wangu kwa Zitto na washirika wake

    Yes....My Favourite based on issues of interest to Tanzanian's nothing more.....
  9. Revolutionary

    Usia wangu kwa Zitto na washirika wake

    Pole sana kama umetoka kapa bado una kale kaugonjwa nilikokataja, ulitarajia niongelee watu na issues zao nitaje taje na majina majina, I won't I do not have interest to perpetuate those personal issues or discussing them. Stop personal attacks, let's attack issues of interest to maendeleo ya...
  10. Revolutionary

    Usia wangu kwa Zitto na washirika wake

    I am not interested in focusing to discussing people's issues when it comes to our politics, we have to change this illness if we want to progress in this modern world we have to change our entire political mentality to ISSUE BASED, RESULT BASED AND DEMOCRATIC ACCOUNTABILITY, we are totally...
  11. Revolutionary

    Zitto: Watanidharau, watanicheka, watapambana lakini nitashinda!

    Mushi narudia nilichosema, tujadili sera sio watu. Zitto kazungumzia sera tupu kuhusu wizara, waziri, mikataba, leseni na mengineyo. Alipotaja majina ya watu ni kwa kuwa alikuwa anachallenge fikra zao na athari zake katika sera. Na alichokisema Zitto kiko wazi kabisa. Hakuna persona attacks, na...
  12. Revolutionary

    Zitto: Watanidharau, watanicheka, watapambana lakini nitashinda!

    Ifikie wakati tuanze kujadili sera na kuachana na siasa za kujadilj watu, Zitto kazungumzia sera, na sisi tufnye hivyo, kama tunataka maendeleo ya nchi!
  13. Revolutionary

    Dr. Ulimboka yupo mafichoni, kuzungumza wakati wowote!

    Ulimboka omba asylum upate uraia wa nchi ulaya kisha kinukishe! Revenge is sweet!
  14. Revolutionary

    Kwa vile tatizo ni CCM, Rais Vunja Bunge chini ya Article 90 ya Katiba

    Umeshasema mwanzo kwamba ni wabunge kurudi kuomba kura tena nchi nzima, hapo gharama ziko wazi. Sidhani mtu aliyepewa madaraka ya kuwa Rais wa jamhuri ya muungano anaweza kufanya, hata ungekuwa wewe. Najua serikalo ya JK ina tatizo katika uwajibikaji lakini sidhani kama tumeishiwa hatua mbadala...
Back
Top Bottom