Recent content by Revolution

  1. Revolution

    JamiiForums Tanzania Wala bata wa JF

    Hivi kula bata ni kula na kunywa mabia tu? Haya kama ni hivyo hilo bata linaliwa kwa msuguri, temboni, tegeta, katoro, nkuhungu, R chuga, na kwingineko tu? Yaani hata kufika hapo Ngorongoro Crater, Dubai, Bahamas, na kwingineko ni shida?
  2. Revolution

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Anatumiwa CV hajibu
  3. Revolution

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    ,
  4. Revolution

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Hili tangazo kama sio matapeli basi TCC wamekosa umakini. Cha kwanza kwenye preamble wameandika four hundred and ninety four positions kisha kwenye mabano wakaweka (20). Pili nafasi zilizotangazwa ni 30 na sio 494 kama tangazo lilivyoelekeza. Tatu nafasi zote mbili zinataka watu wenye Diploma...
  5. Revolution

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Seran ukipata michongo ya Dodoma ya kazi za Sales, Marketing, Public Realations and Promotions please let me know au share hapa. Nina mtu wangu yupo Dar na ningependa anijoin huku Dom na tiketi yake ni kama akipata mchongo huku.
  6. Revolution

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    Anayemnyoa ni nani? Kwishaaa habari yako, umepata msaidizi. Sasa ampe yeye aiangalie na kuinyoa, kuifuta na kuinyandua na kuifuta tena kisha akupe na wewe umchungulie!?
  7. Revolution

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Naona kama kuna chai baada ya episode ya pili na kuendelea...ila sina uhakika
  8. Revolution

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Anakula tenda za saba saba za Serikali ni lazima aongee hivi.
  9. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Nakutakia heri na fanaka ya "hang over" hapo kesho uakampo.
  10. Revolution

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Muuguzi Tabora aliyemfanyia mgonjwa upasuaji nyumbani kwake afukuzwe kazi, afikishwe kwenye mkono wa sheria na kufutiwa leseni

    Yupo sahihi, yeye sio mamlaka ya nidhamu ya huyo mtumishi kwa mujibu wa sheria
  11. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    Hii ni kweli huyo jamaa anakomaa tu. Utaendelea kumpenda ila hali haiwezi kuwa kama pale mwanzo. Na kinachofanya sasa kuendelea inategemea pia na mwanamke naye yukoje na anakuchukuliaje
  12. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    On contrary, imeshawahi kutokea scenario pia ambapo baada ya kumvua kyupi unatamani uendelee kuonana naye na uendelee kumvua kyupi. Pia, ukikutana na mwanamke kama huyo hata mkionana bila kumvua kyupi unakuwa unakuwa unafurahia company yake na unakuwa unatamani asiondoke na akiondoka unaanza...
Back
Top Bottom