Hivi kula bata ni kula na kunywa mabia tu? Haya kama ni hivyo hilo bata linaliwa kwa msuguri, temboni, tegeta, katoro, nkuhungu, R chuga, na kwingineko tu? Yaani hata kufika hapo Ngorongoro Crater, Dubai, Bahamas, na kwingineko ni shida?
Hili tangazo kama sio matapeli basi TCC wamekosa umakini. Cha kwanza kwenye preamble wameandika four hundred and ninety four positions kisha kwenye mabano wakaweka (20). Pili nafasi zilizotangazwa ni 30 na sio 494 kama tangazo lilivyoelekeza. Tatu nafasi zote mbili zinataka watu wenye Diploma...
Seran ukipata michongo ya Dodoma ya kazi za Sales, Marketing, Public Realations and Promotions please let me know au share hapa. Nina mtu wangu yupo Dar na ningependa anijoin huku Dom na tiketi yake ni kama akipata mchongo huku.
Anayemnyoa ni nani? Kwishaaa habari yako, umepata msaidizi. Sasa ampe yeye aiangalie na kuinyoa, kuifuta na kuinyandua na kuifuta tena kisha akupe na wewe umchungulie!?
Hii ni kweli huyo jamaa anakomaa tu. Utaendelea kumpenda ila hali haiwezi kuwa kama pale mwanzo. Na kinachofanya sasa kuendelea inategemea pia na mwanamke naye yukoje na anakuchukuliaje
On contrary, imeshawahi kutokea scenario pia ambapo baada ya kumvua kyupi unatamani uendelee kuonana naye na uendelee kumvua kyupi. Pia, ukikutana na mwanamke kama huyo hata mkionana bila kumvua kyupi unakuwa unakuwa unafurahia company yake na unakuwa unatamani asiondoke na akiondoka unaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.