Recent content by Revolution

  1. Revolution

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    Anayemnyoa ni nani? Kwishaaa habari yako, umepata msaidizi. Sasa ampe yeye aiangalie na kuinyoa, kuifuta na kuinyandua na kuifuta tena kisha akupe na wewe umchungulie!?
  2. Revolution

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Naona kama kuna chai baada ya episode ya pili na kuendelea...ila sina uhakika
  3. Revolution

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Anakula tenda za saba saba za Serikali ni lazima aongee hivi.
  4. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Nakutakia heri na fanaka ya "hang over" hapo kesho uakampo.
  5. Revolution

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Muuguzi Tabora aliyemfanyia mgonjwa upasuaji nyumbani kwake afukuzwe kazi, afikishwe kwenye mkono wa sheria na kufutiwa leseni

    Yupo sahihi, yeye sio mamlaka ya nidhamu ya huyo mtumishi kwa mujibu wa sheria
  6. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    Hii ni kweli huyo jamaa anakomaa tu. Utaendelea kumpenda ila hali haiwezi kuwa kama pale mwanzo. Na kinachofanya sasa kuendelea inategemea pia na mwanamke naye yukoje na anakuchukuliaje
  7. Revolution

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    On contrary, imeshawahi kutokea scenario pia ambapo baada ya kumvua kyupi unatamani uendelee kuonana naye na uendelee kumvua kyupi. Pia, ukikutana na mwanamke kama huyo hata mkionana bila kumvua kyupi unakuwa unakuwa unafurahia company yake na unakuwa unatamani asiondoke na akiondoka unaanza...
  8. Revolution

    JamiiForums Tanzania Nchimbi: Tumuombe Mwenyezi Mungu Afunge Mageti ya Ikulu Dhidi ya Watu Wabaya, Wachonganishi

    Wana JF uwezo mdogo...sikilizeni kwa undani zaidi na sio kwa juu juu
  9. Revolution

    JamiiForums Tanzania Jinsi Shemeji yangu (Rafiki wa Ex wangu) alivyoniambukiza Gono na UTI sugu

    Wa kuuza ni wa kuuza tu, na kuvaa ni wa kuvaa tu, Trust me, hiyo haitakuwa mara yako ya mwanzo na ya mwisho. Mimi pia nipo kwenye fungu la kuuza ila ninamshukuru Muumba hadi leo nipo salama. Baada ya kujigundua ni wa kuuza na c...nd..m is not my thing, huwa sichezi hivyo! Na mtu ninayecheza...
  10. Revolution

    JamiiForums Tanzania TRC yasitisha Safari za SGR kati ya Morogoro-Dodoma kutokana na athari za mvua

    Mimi nilikuwa na tiketi ya kwenda Dodoma kesho kwa hali hii ninapaswa kufanyaje? Nidai refund ama ndio imetoka hiyo?
  11. Revolution

    JamiiForums Tanzania Wanyonya uchi

    Uzi wa kunyonya K umewekwa asubuhi sasa hivi una kurasa sita, weka uzi wa namna ya vijana kujiajiri na kujikomboa kiuchumi siku nane uzi una ukurasa mmoja na nusu. Kaazi kweli kweli
  12. Revolution

    JamiiForums Tanzania Mwamficha hadi lini. Siye Tuna hamu kumwona mbele ya umma

    Labda Kiongozi wetu yupo Likizo
Back
Top Bottom