Recent content by revocatus George

  1. revocatus George

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Mimi sioni kama kuna haja ya kusema unahama nchi acha JPM anyooshe nchi Hii inaitwa SERIKARI YA WANYONGE
  2. revocatus George

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Unajua inabidi tukae chini kwa pamoja,tuombe kwa pamoja na kusifu kile anachofanya Rais wetu JPM Kwani nchi ilikuwa imeoza ila kwa hiki kipindi naona tutaenda sawa
  3. revocatus George

    Madhara ya nyama ya nguruwe na nyama nyekundu ya kawaida

    Dah yaani family yangu isipopata mbuzi mkatoriki kila j pili Watoto wanaweza kubadlisha maamuzi Na kuanza kuniita uncle baada ya Dad
  4. revocatus George

    Kwa hili la Machinga, sasa nimeamini Polisi wanatumika vibaya

    Hiyo ni kali ya mwaka jana ckuamin kilichotokea
  5. revocatus George

    Ningekuwa RC, DC, RPC ama DED Jiji la Mwanza Ningejiuzulu

    Dahaa mpaka mimi nilishangaa kusikia vile maana wamachinga wenyewe walikuwa wameshakubali lkn sasa mmmmh ni noma
  6. revocatus George

    Kikwete baba tunakukumbuka na tunazidi kukukumbuka

    Daah tumuombee rais wetu akusanye pesa nyingi , walipa kodi wote walipe wasikwepe mwishowe tutanehemeka
  7. revocatus George

    Kampuni ya MURO yatangaza kuuza mabasi yake, nini kipo nyuma ya pazia?

    Duuu!!!! Ndo kuyumba kwa uchumi umeanzia kwenye makampun
  8. revocatus George

    NATAFUTA KAZI YEYOTE HALALI MKOANI MBEYA

    Tfauti na mbeya hufanyi kazi maana umetaja Mbeya tu
  9. revocatus George

    Special Thread ya Dar Mpya: Paul Makonda afanya Ziara Jijini la Dar kusikiliza kero za wananchi

    Jamani watanzania tufike mda tuwe waelewa hili swala la kurusha bunge live limekaa kisiasa zaidi kwa upande wangu mimi naona hamna haja ya kuliongelea tuliache lilivyo
  10. revocatus George

    Ugoni bila kutenda nimeumia sana

    Hiyo kiukweli ni beef ila cha kufanya mtafute huyo mama akwambie kwanini amekutaja wewe na ingekuwa vzuri mme wake awepo ukiwa unamuhoji
  11. revocatus George

    Tujikumbushe mojawapo ya kazi za Eric Shigongo alizowahi kuifanyia CCM

    Waswahili wanasema utavuna ulichopanda
Back
Top Bottom