Na TRA kila mwezi wanavuka lengo la makusanyo.Uchumi unakuwa.
Hii ni kasi au kansa?Kila zama na kitabu chake, wengi wameshindwa kwendana na kasi hii.
acha chuki zako yeye atabaki kuwa tajiri tu kwa taarifa yako watakaoisoma namba ni watu wa chini kama wewe. ila punguza wivu wa kijingaAwali ya yote tungeambiwa pia jinsi alivyopata hizo mali.
Kama kuna sintofahamu basi ni mfumo tu wa kawaida utakaomkumba kila aliyepata mali kwa mlango wa nyuma...huku kwetu tunaita 'karma'
Kama ulivuna pesa iliyomkosesha Mnyonge chakula au matibabu au maji masafi n.k. na ukadhani utaishi kwenye pepo yako milele basi you are wrong my friend.
Hiyo ni tafsiri yako ila pointi yangu ni hiyo hiyo...ukipata mali kimagumashi itarudi tu ilipotoka siku moja hata kama Mzee Magu hangekuwa raisi wa nchi.acha chuki zako yeye atabaki kuwa tajiri tu kwa taarifa yako watakaoisoma namba ni watu wa chini kama wewe. ila punguza wivu wa kijinga
uliluwepo kweli enzi hizo mkuu? Ama uliatisiwa?Serikali si iturudishie KAMATA tu.