We jamaa hacha kazi... Toka lini wabongo wakalizika na mishaala yao....we hacha kazi jiajili tu...kuna vijana wanalilia hata iyo kazi ulionayo ...nakwambia kama unaona haikutoshi hacha kazi,af ww n mtumishi haujielewi kabisa
Hacheni kazi,mkajiajiri kwa kuna tatizo hata serikali haina shida na nyie...we kama unaona unateseka au mshahara haukitoshi hacha kazi si upo huru.... Yaan bongo bana mnajari matumbo yenu tu,hela zote ,ziwe zinaishia mikononi mweni wakati watu wa kawaida hawana dawa,umeme na maitaji...
Soma kwanza....bado miaka miwili au mitatu umalize....utafafanya mishe zako badae...mm nlikuwa kama ww....nmemaliza chuo sshv npo huru nafanya mambo zang
Wakuu,
Naomba kujua kwanini sisi wanaume wafupi tunabaguliwa sana na wanawake hawa, mwanamke kila kitu nampatia lakini bado haliziki tuwape nini nyie wanawake jamani, wanawake naombeni ushauri mpaka
sasahivi nimeachwa na wanawake watano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.