Recent content by RESEARCHER 1

  1. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa upimaji wa udongo wa bei nafuu kwa kilimo bora

    Upimaji wa udongo kwa kilimo bora Mlingano, Tanga Tanzania Kwa ukulima bora na wa kisasa tunawashauri wakulima na wawekezaji ktk kilimo kupima rutuba ya udongo ili kujua virutubisho vilivyomo kwenye udongo. Na hii itasaidia kujua 1. Aina za virutubisho vinavyopatina kwenye udongo ndani ya...
  2. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Biashara ya mkonge nchini Tanzania na Changamoto zake

    UTAKUWA HUIJUI BUT WATU WENYE MAENDELEO TANGA NI WALE WANAJIUSISHA NA KILIMO CHA MKONGE
  3. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Biashara ya mkonge nchini Tanzania na Changamoto zake

    NAPENDA KUWAKUMBUSHA WALE WADAU WA MKONGE NA WALE WANAOITAJI KUWEKEZA KWENYE MKONGE KUWA MSIMU WA MAANDALIZI YA SHAMBA KWA AJIRI YA KUPANDA MKONGE NI SASA NA KAMA UKUBAHATI KUPATA DARASA LETU LA KILIMO CHA MKONGE NA FAIDA ZAKE TAFADHARI WASILIANA NASI WATAFITI KUTOKA KITUO CHA UTAFITI MLINGANO...
  4. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kupima udongo pamoja na ushauri wa kilimo

    TUNATOA HUDUMA YA KUPIMA UDONGO ILI KUKUJULISHA VIRUTUBISHO VILIVYOMO NA AINA YA UDONGO HUO PAMOJA NA KUKUSHAURI MAZAO GANI YANAFAA KWA ENEO HILO LA SHAMBA LAKO NINI UNATANAKIWA KUKIFANYA ILI KUTUNZA VIZURI SHAMBA LAKO KUPIMA SAMPLE MOJA NI KWA GHALAMA NAFUU YA TSH; 50,000 NA SHAMBA KUBWA...
  5. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Biashara ya mkonge nchini Tanzania na Changamoto zake

    Kutokana na wadau wengi kutaka kujua hasa gharama za uzalishaji wa mkonge na muda gani unaaza kupata faida ikanilazimu niwaandalie hii bajeti ambayo tunaitumia kwa mkoa wa Tanga ila inaweza kubadilika kutokana na upatikanaji wa mahitaji na hali ya shamba ilivyo. ================== Ufafanuzi...
  6. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    ZIKO SEHEMU GANI MKUU TUKAKUPIGIE KAZI MAANA MUDA WA KUPANDA NDO HUU MORO WILAYA GANI MKUU UNAWEZA KULIMA TU
  7. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    MKONGE TANZANIA UNASTAWI ZAIDI KATIKA MIKOA YA TANGA, MOROGORO, KILIMANJARO, SHINYANGA, GEITA MWANZA, MARA, PWANI LINDI NA SIMIYU
  8. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    MSOMA MKONGE UNAKUBALI ILA KUTOKANA NA MAZINGIRA INATAKIWA UWE MKULIMA MKUBWA KIASI KWAMBA UWEZE KUNUNUA HATA MASHINE ZA KWAKO MWENYEWE KWA AJIRI YA KUFANYA DECOTICATION KWANI WAKULIMA WA MOROGORO NA TANGA WANATUMIA VIWANDA VINAVYO WAZUNGUKA
  9. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    YAA YUKO TANGA NA KWELI YEYE NDO MZALISHAJI MKUBWA LAKINIPIA YAPO MAKAMPUNI MENGINE KM SFI, KATANI LTD NK.
  10. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

  11. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko lipo la uhakika na ambalo kwa sasa linazidi kupanda, faida yake ni kubwa kuanzia mwaka wa nne...
  12. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    poa mkuu karibu
  13. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    WANAJITOKEZA TUNAZIDI KUWAPA ELIMU JAPO MUITIKIO CYO MKUBWA
  14. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

    FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko lipo la uhakika na ambalo kwa sasa linazidi kupanda, faida yake ni kubwa kuanzia mwaka wa nne...
  15. RESEARCHER 1

    JamiiForums Tanzania Magazeti ya namna hii ni hatari kwa maendeleo ya Taifa letu.

    Nadhani kaelewa unajua kitendo cha serikali kuzuia hela za ovyo mtaani za kulewa, kuonga, pembe za ndovu, madawa ya kulevya na kubaki hela halali za jasho wale waliozoea izo hela wakaaza kuhaa na maisha yao kuwa magumu na kutufanya watuvwote tuimbe huo wimbo fanyeni kz vya bure vinaua. Hapa kz tu
Back
Top Bottom