Magazeti ya namna hii ni hatari kwa maendeleo ya Taifa letu.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Nimeshangazwa na hili gazeti la Jambo leo. Yani serious issue ya uchumi wa taifa letu hili gazetu linatumia nguvu nying kupotosha Jamii.

Jana IMF ilitoa onyo kwa serikali ya Tanzania ikisisitiza kuwa uchumi unaelekea kubaya. Sasa hawa eti wanasifia.
ff19efd0cce721db0620568c49544df1.jpg

Wanadai eti serikali iachilie pesa.serikali Itaruhusuje pesa wakati imefilisika inaangaika kutafta mikopo?
 
Nimeshangazwa na hili gazeti la Jambo leo. Yani serious issue ya uchumi wa taifa letu hili gazetu linatumia nguvu nying kupotosha Jamii.

Jana IMF ilitoa onyo kwa serikali ya Tanzania ikisisitiza kuwa uchumi unaelekea kubaya. Sasa hawa eti wanasifia.
ff19efd0cce721db0620568c49544df1.jpg

Wanadai eti serikali iachilie pesa.serikali Itaruhusuje pesa wakati imefilisika inaangaika kutafta mikopo?
Uchumi wako kuyumba na maisha yako magumu siyo kigezo cha uchumi wa nchi kuyumba, nakushauri upambane na maisha fanya kazi maisha yaende mission town kama wewe ukiendekeza utakufa na njaa.
 
..kweli ripoti imesema uchumi unakua.

..lakini ukuaji huo unachangiwa na sekta za madini, mawasiliano, ...sekta ambazo ushiriki wa wananchi wa kawaida ni mdogo.

..kwa uelewa wangu gazeti limeeleza ukweli. Pia ripoti haijaeleza jambo lolote jipya kuhusu hali ya uchumi waTz na changamoto zinazowakabili wananchi.
 
Uchumi wako kuyumba na maisha yako magumu siyo kigezo cha uchumi wa nchi kuyumba, nakushauri upambane na maisha fanya kazi maisha yaende mission town kama wewe ukiendekeza utakufa na njaa.
Aliyesema hali ya uchumi mbya ni mimi au IMF. Nyie si kipind kile IMF inatoa taarifa uchumi unakuwa mkawa mnashangilia. Leo kuipa worning serkal ndyo mmekuwa mbogo.
 
..kweli ripoti imesema uchumi unakua.

..lakini ukuaji huo unachangiwa na sekta za madini, mawasiliano, ...sekta ambazo ushiriki wa wananchi wa kawaida ni mdogo.

..kwa uelewa wangu gazeti limeeleza ukweli. Pia ripoti haijaeleza jambo lolote jipya kuhusu hali ya uchumi waTz na changamoto zinazowakabili wananchi.
Imf wanashindwa kupata data za mapato ya november na desember mpaka sasa. Ila repory ya mwisho ya uchumi ulikuwa chini ya 7%.
Nimeshangazwa na hili gazeti la Jambo leo. Yani serious issue ya uchumi wa taifa letu hili gazetu linatumia nguvu nying kupotosha Jamii.

Jana IMF ilitoa onyo kwa serikali ya Tanzania ikisisitiza kuwa uchumi unaelekea kubaya. Sasa hawa eti wanasifia.
ff19efd0cce721db0620568c49544df1.jpg

Wanadai eti serikali iachilie pesa.serikali Itaruhusuje pesa wakati imefilisika inaangaika kutafta mikopo?
 
Aliyesema hali ya uchumi mbya ni mimi au IMF. Nyie si kipind kile IMF inatoa taarifa uchumi unakuwa mkawa mnashangilia. Leo kuipa worning serkal ndyo mmekuwa mbogo.
Imeyumba umesikia mishahara hakuna serikalini? Huduma muhimu hakuna? Acheni chuki, kabla hujaikosoa nchi yako jifunze kitu kutoka nchi jirani ndiyo ulinganishe na hapa.
 
Nadhani kaelewa unajua kitendo cha serikali kuzuia hela za ovyo mtaani za kulewa, kuonga, pembe za ndovu, madawa ya kulevya na kubaki hela halali za jasho wale waliozoea izo hela wakaaza kuhaa na maisha yao kuwa magumu na kutufanya watuvwote tuimbe huo wimbo fanyeni kz vya bure vinaua. Hapa kz tu
 
Nadhani kaelewa unajua kitendo cha serikali kuzuia hela za ovyo mtaani za kulewa, kuonga, pembe za ndovu, madawa ya kulevya na kubaki hela halali za jasho wale waliozoea izo hela wakaaza kuhaa na maisha yao kuwa magumu na kutufanya watuvwote tuimbe huo wimbo fanyeni kz vya bure vinaua. Hapa kz tu
Unamaanisha IMF inaishauri serikal iache watu waendelee kuiba?
 
Back
Top Bottom