Huu ndio Waraka/Mkakati uliopelekea Kitila na Zitto kupoteza uanachama wao ndani ya CHADEMA
Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto kuvuliwa uanachama CHADEMA - JamiiForums
Moderators naomba muweke hii voice clip hapo juu kwa faida ya ambao hawakuskia https://soundcloud.com/newsaddict/serukamba?utm_source=soundcloud&utm_campaign=wtshare&utm_medium=Twitter&utm_content=http://soundcloud.com/newsaddict/serukamba
Duh, hii inadhihirisha wazi mikakati ya chadema dhidi ya Zitto na marafiki zake kumbe imeanza sikunyingi!
Lakini nashauri tusihukumu kabla hatujapata picha kamili, tuendelee kuvuta subira naamini tutayajua mengi!!!
Kama polisi wanafuatilia huu uzi wanapaswa kumchukua mleta mada ili awasaidie uchunguzi... jambo hili liko polisi lakini nashangaa kwanini watu wasiwe watulivu na kuelekeza nguvu zao kuhakikisha wanathibitisha njama hizi kuwa ni za uongo!
Jamani tuache Mapenzi, kama mleta mada ana refer email aliyoiweka hapa mbona hakuna sehemu yoyote inayosema kwamba mkanda huu ni wa kutengeneza? Ukisoma na sober mind utaelewa wanapongezana kwa kufanikiwa kupata mkanda unaaonyesha mikakati/ siri za ndani za Chadema!
Mkuu hapa unanichanganya... nijuavyo mimi hii kamati ni "oversight committee" na hivyo ni lazima iongozwe na upinzani, wakati composition kubwa ni wabunge (ambao ni wapiga kura) ni CCM, na nimeona safari hii wabunge wa chadema kwenye kamati hii ni 3 tu, sasa tulitarajia nani wampigie kura...
Zitto Kabwe | Raia Mwema | Toleo la 279 | 30 Jan 2013
DK. Mahathiri Mohammed alikuwa Waziri Mkuu wa Malaysia kwa miaka 22. Hata hivyo, haikuwa ni kazi nyepesi kwake kufikia nafasi hiyo ya juu kabisa ya uongozi nchini humo, alipitia mitihani mingi na mikubwa.
Nitaieleza kidogo. Mahathir...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.