Recent content by Removers

  1. Removers

    PreGE2025 LGE2024 TAMISEMI na kampeni za Uchaguzi

    Hii imekaaje , Tamisemi na kampeni ? Ambapo ukizingatia ndio msimamizi wa uchaguzi. Soma Pia: Mahakama yatoa kibali Wadau wafungue Kesi kupinga Ofisi ya Rais-TAMISEMI kutosimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa
  2. Removers

    Mzigo uko tayari! Ground invasion ndani ya Lebanon soo. Tunaenda kuona version two of Gaza

    Kufyatua bikra ?? Una maanisha nini , naomba kufahamu Aluta continua
  3. Removers

    SoC01 Sababu zinachangia kufa kwa biashara za vijana wengi

    Uzi umejitosheleza ..elimu kubwa sana iko ndani yake
  4. Removers

    SoC01 My 3rd Year at the University - Boom to Business

    Kipindi Cha masomo Yako ,chuoni ulikuwa unakaaa hostel au nje , umepanga?
  5. Removers

    Nahitaji Mwenza

    K Kwanini , mpaka uone kaburi ,, chief ??😂
  6. Removers

    Wimbi la vijana kutengeneza video na kutuma YouTube

    Wanalipaa boss ,ukifikia kiwango cha subscriber fulani. Kama sijakosea ila kuhusu malipoo yake sifahamuu vzuri..ila kufungua youtube account napo kuna amount unalipia kufungua That's what I know ,Mr.
  7. Removers

    Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

    Huu uzii kibokoo ,nmesoma hafi comment ya 35 kutafuta muendelee of tu..yaan nipoo hoii hapaa. .ngojaaa niuchapee ..aseee .. Sema ,mwandshi amepangilia fresh ,matukio ..
  8. Removers

    Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

    Kutoka kwenye source .. website ya kanisaa..sasa ukibishaa na hii polee ,mkuu..fungua akili yakoo mambo yapoo wazii .. Pope calls parents of people with same-sex attraction to paternity and maternity
  9. Removers

    Uzi kwa ajili ya wanachuo wanauza assets zao ili wapate Ada ama nauli

    Tv ya kisogoo mkuu nnayoo ,,vp tuongee busness
  10. Removers

    Show ya Diamond Platnumz (MTV Base )

    😆😆😆😆😆😆😆
  11. Removers

    I am Looking for serious Man

    Nakuja Pm ,tuyajengee naona vgezo nnavyo
Back
Top Bottom