Umeonae kaka waindi ni jamii ambayo kwangu mm nadhani wanaongoza kwa ubaguzi duniani,hata hapa tz tunaishi nao lakn sio watu hao.Asilimia kubwa ya waindia maskini ni waindi weusi
Me nakushauri jaribu kwenda kuwaambia wazazi wake na ndugu zake wao wanamjua vizuri wanaweza wakamshauri akashauri,then jaribu kuact kama unaanza tena kumdate atarudi kwenye reli tu kama anakupenda na hilo pepo lililo mwingia litakimbia kwa aibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.