Bora uwaambie mapema maana wenzako wanajua kule bata sana matokeo yake first year wa last year Sup na carry over za kutoshaHongera mkuuu naskia hapo msuli 80% bata 10% kupumzika 10%
Udom walishatoa, au batch ya pili ndio unasemea?Wakitoa selection ya UDOM naomba mnishtue!
Mbona washatoa kiongoziWakitoa selection ya UDOM naomba mnishtue!
hoja ni kupakatwa hakuna chengine hapoUko UDOM nini mzee..!?
Asante kwa taarifa mkuu.Udom walishatoa, au batch ya pili ndio unasemea?
Asante kwa taarifa kiongoziMbona washatoa kiongozi
Kwahiyo..!hoja ni kupakatwa hakuna chengine hapo
Amina mkuuHongereni wote mliochaguliwa kujiunga UDSM. Mwenyeezi Mungu aendelee kuwapa baraka na nguvu ya kufanya vizuri katika masomo yenu hapo UDSM.
Hongera kwa mtoaji wa uzi huu, umejibu maswali ya wengi ambao bado hawakujua ni chuo gani wamechaguliwa. Endelea kuwa na moyo wa kuwapa habari muhimu hapa JF na kwingine katika mitandao ya kijamii. Ubarikiwe.