Wakuu mwaminini uyo Mtoto wa Ratco!!m nauliza hiv kwenye hii nchi hakuna matajiri wenye biashara kubwa kubwa,maana business zote kubwa na magorofa yote nchini niya Rithiwan!!!
Mtoa mada umechemka sanaa!ni kweli Israel ni Taifa bora sana lakini ukupaswa kuingiza uislam na ukristo ndani yake,ayo ni mambo ya kidiplomasi,hayahusu dini,sawa Mkuu?
Sasa Mkuu,ina maana mtu akifiwa na Mzazi au ndugu wa karibu,alafu baadae sana akawa Tajiri nae ni illuminati?? mfana c.ronaldo baba yake alifariki akiwa bado mdogo then kapambana kawa Tajiri...daaa hii inafanya hata ss tulio fiwa na ndugu wa karibu tuogope kuwa matajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.