Mining zipo za aina nyingi na kama unahitaji kuzijua za Bure zipo pia nyingi Sana na ni jinsi tu ya kuoneshwa hii fanya hii acha...kifupi uwe na mjuvi wa haya mambo usikurupuke🤗
Mm nilikuwa kama ww nahofia pesa yangu but nikamwambia alonielekeza hii kitu kama ni ya kuwekeza pesa mm sintaiweza...
Jamani watanzania tuamke Dunia inaenda mbio sana. Kama utang'ang'ana na biashara moja hakika kilio kwako kiuchumi kitakusonga hivyo jifunze kujivunia pesa mtandaoni kama wenzako wanavyofanya.
Kwanini bando lako liwe la kufacebuka tu na kuwasapika tuu bila kuingiza hata mia...
Shituka ingia...
Nipo hapa nafanya freelancing pia nafanya Mining so kwa link za mining mpya njoo ninazo kibao ikiwepo Pi,Bondex,Sidra bank nk karibu inbox nokujuze pesa za ubwerere za mtandaoni
Njoo Kalynda hapa hapa dar ofisi zipo pale posta ni digital marketing ....mtaji kima cha chini ni 20,000/= unaclick mala 20 unapata commission yako haihitaji elimu Wala nguvu no rahisi tu watu tunaishi kama wafalme hapa mjini kwa hiyo kitu 0765497859
Jamani nilibomolewa sehemu ya biashara yangu pale ubungo nikahisi nimehama duniani hali ilikuwa ngumu basi humu humu ndani nikakutana na Uzi wa Kalynda aisee mbaka Leo ninamiezi miwili kile kilip chabumasikini kwisha maana Kila Ijumaa napakua mzigo wangu na kula mema ya nchi ukiwa interested...
Hapo Ili upate watu wa kuweza kumanage at least entry fee iwe 100,000/= ni sawa na watu 2000 tu. Na hata kikao kikiitwa tunaweza wote Kaa kwenye viti...Maoni tu 🙏
Ombi kwa wahitimu wote watafutao kazi ukipata kibali cha kufanya kazi hata ya kujitolea na uifanye kwa kiwango kizuri hata mlipaji atajisikia kukushikilia Ili usiondoke maana hata kibiblia huwezi mfukuza kazi Yakobo Bali Esau utamfukiza hii yote naongelea (Performance).
Fanya bure Ili...
Kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuwa na stress kiasi kwamba wanapopata msongo mwingi wa mawazo wanafikia hata kuongea barabarani peke yao kiasi kwamba ameshindwa wa kumshirikisha jambo lake hasa la kindoa Ili kupata suluhu ya anayoyapitia kwa wakati huo.
Pia kunawimbi la wanawake wengi...
Mali halali ni hiyo ya jasho lako huko kwingine utasahau hata Kama ulikuwa na biashara hiyo sio shida Sana ila sasa mashart yao ndio utaingia kwa mtego mazima.
Usijiwazie negative maana maandiko ya biblia yanasema UKIONACHO ROHONI MWAKO NDICHO KITAKACHOKUJILIA....chunga Sana moyo wako maana ndiko kutokako chem chem ya uzima ..Hivyo Anza kujikubali mwenyewe na wengine watakukubali, jipende mwenyewe na wengine watakupenda ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.