Refrector
Senior Member
- Mar 13, 2014
- 187
- 118
Ombi kwa wahitimu wote watafutao kazi ukipata kibali cha kufanya kazi hata ya kujitolea na uifanye kwa kiwango kizuri hata mlipaji atajisikia kukushikilia Ili usiondoke maana hata kibiblia huwezi mfukuza kazi Yakobo Bali Esau utamfukiza hii yote naongelea (Performance).
Fanya bure Ili ujitengenezee baadae yako namaanisha ukijitolea kwa kujituma wengi watakujua kutokana na hapo ulipo(connection).
Utapata uzoefu wa kazi yako na kujua zaidi taaluma yako kiutendaji na sio kinazalia (Experience).
Mwenda bure sio mkaa bure🙏
Fanya bure Ili ujitengenezee baadae yako namaanisha ukijitolea kwa kujituma wengi watakujua kutokana na hapo ulipo(connection).
Utapata uzoefu wa kazi yako na kujua zaidi taaluma yako kiutendaji na sio kinazalia (Experience).
Mwenda bure sio mkaa bure🙏