Umenikumbusha jambo leo ni ukaguzi wa simu na vinotebooks kulinganisha majina yaliyomo sawa na yale ya kwenye simu. Eti simu nzima majina ya wanaume ni sita mimi, kaka yake, baba yake, mjomba wake, baba yangu na mme wa dada yake jamani hii imekaa sawa? wakati PM zimejaa midume pia michumba mingi...