Recent content by rectifier

  1. R

    Yupi ni rafiki wa kweli kati ya China na USA?

    Kwa uzoefu wako unamuona nani mwenye ka uafadhali?
  2. R

    Tujifunze kutoka China (Socialist Market Economy)

    Hii mada ni nzuri sana...tunapata chakula ya ubongo
  3. R

    Nyerere tunakudai nchi yetu tuliyokukabidhi

    Kwahiyo unataka kusema ukiwa mtumishi wa umma uwe typical mtumishi usijihusishe na biashara yeyote yakukuingizia kipato cha ziada nje ya mshahara wako?
  4. R

    Rasmi naenda kuacha ajira, Wasomi tumegeuka kituko kwa uoga wa kutegemea matone ya mshahara huku wageni na std 7 wakitajirika kwa rasilimali zilizojaa

    Sasa kama unatengenezewa mazingira ya kutokufanya biashara yeyote nje ya kazi ulio ajiriwa ufanyaje mkuu si bora ubet litakalo kua na liwe hatakama huna uzoefu na biashara yeyote uache tu kazi..!
  5. R

    Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

    Kwakweli si ungi mkono walimu wakuu kupewa adhabu pasipo kufuata taratibu za kiutumishi..Lakini wewe kama mzazi upo comfortable kusikiliza au kuangalia video za mziki ambazo zina maudhui ya kingono?
  6. R

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Na ndani ya manispaa au halmashauri ikoje ..
  7. R

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Mkuu samahani naomba kufahamu hivi ni standing order ya mwaka gani ambayo inatumika Kwa sasa.
  8. R

    Wachezaji Mizigo Simba

    Niliwambia lakini wanathimbaa..🤣
  9. R

    Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU kuchunguza safari ya China aliyofanya Mkurugenzi

    Bro na wewe umeamua kumsagia kunguni mkuu wa wilaya jamvini hapa sababu yeye ni apeche alolo sio!
  10. R

    Naomba ushauri: Nataka kusoma Shahada ya Umahiri ya Ualimu wa Sayansi mwakani 2024

    Zingatia ushauri huu utakusaidia yaani jaribu kidogo kupigania ulicho kisomea walau ukakifanyia kazi hata kwa miaka miwili kitakupa experience ambayo itaku guide kwenye hio new expectation..
  11. R

    Namalizaje mtihani wa pure Math (Advance level)?

    lengo la mwl wenu anataka awatrain kua na speed kubwa Ili mkifanya mitihani wa joints like mocks,pre nectar, even necta yenyewe muweze kumaliza kikamilifu coz ina duration ya 3hrs..So mkiweza kumanage 2.5hrs kwenye mazoezi ya darasani mtakua na advantage ya half hr kwenye mitihani ya mhimu...
  12. R

    Wachezaji Mizigo Simba

    Jaribuni kuplan rotation nzuri ya wachezaji kung'ang'ana na wachezaji flani lazima waanze aka first eleven never change itawagharim..eti lazima kibu aanze Kila game. Subirin trh 5 tunajipigia TU🤣
  13. R

    Nilikutana na mtanzania mwenye logic za ajabu nikabaki mdomo wazi.

    Hapo kwenye kuichezesha isiwe continuous ni uongo..labda uwe unakojoa na kukata mkojo still haita saidia..Kojoa kwenye choo safi that is the only solution..
  14. R

    Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

    Kitaalam hili tatizo linasababishwa na nn? Itakua si mbaya ukitupa na source ya taarifa Yako..
Back
Top Bottom