Recent content by Reciprocal

  1. R

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii chanzo ni ndugu Nyerere

    Muanzishaji wa kitu fulani huitwa baba wa hicho kitu. Aliyepelekea nchi hii kuitwa Tanzania ni nani?, ni dhahiri ni NYERERE. KATIBA ilirekebishwa na kuwekwa vizuri kabisa( Isipokuwa unatakiwa uwe mzalendo, na siyo kumkomoa mtu). Si kuna VOTE ya OF NO CONFIDENCE ambayo wabunge wanaweza kuipiga...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii chanzo ni ndugu Nyerere

  3. R

    JamiiForums Tanzania Mashekhe wote kwa umoja wenu: Ijumaa ijayo khutba iwe ni October TUNATIKI ✅

    Basi wewe una matatizo ya akili, unaona mtu anakemewa na viongozi wa dini wananyang'anywa passport halafu unasema ni kuzuga?, kwanini, Magufuli alipokasirika hawakumwambia kuwa tulikuwa tunakutania tu? Hata wakati wa kupigania UHURU, Waislamu walianzisha chama Chao cha AMNUT. Hivyo UHURU...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Matangazo Mubashara Tumaini Tv, mtu anapigwa vijembe muda huu. Ni tukio la kusimikwa askofu katoliki jimbo Bagamoyo..

    Una matatizo ya kufikiri. Wewe kila kitu unafikiria DINI TU. Kuna ISSUE ya kuchoka TABIA FULANI. KWA MFANO: Mke wako anaweza kuwa na tabia fulani mbaya, ukamwacha tu, lakini baadaye unachoka tabia yake( na hivyo unaonesha REACTION yako). Kwahiyo hicho unachokiona ni matokeo ya kuchoka tabia...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Je ni Haramu kwa Muislamu kusherehekea mwaka mpya kwa kuchinja, kula , kunywa na kufurahi? Je zipo aya ndani ya msahafu?

    Kusherekea mwaka mpya kunahusu shukurani kwa MUNGU kwa kukufanikisha kumaliza siku 365 au 366 ukiwa hai. Hii ni sawa na wewe ulikuwa unashindana kukimbia mita kadhaa halafu ukafanikiwa kumaliza SALAMA hapo utamshukuru MUNGU kwa mafanikio hayo. Kuacha kumshukuru ni kukosa shukurani kwa MUNGU...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa aagiza Mchakato wa uanzishwaji wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Jjiji la Dar uanze

    Nadhani, Magufuli alikuwa na lengo la kupunguza gharama za uendeshaji wa jiji lisilokuwa Wilaya. KWASABABU JIJI LA DSM LILIONEKANA LINALETA UTATA KWENYE CHANZO CHAKE CHA MAPATO( KWAHIYO, JIJI LA DSM MAPATO YAKE LILIKUWA LINATEGEMEA KUTOKA HALMASHAURI ZA MANISPAA ZA ILALA, KINONDONI, TEMEKE...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

    Si Kila mtu unayemuona mahali Fulani anatokea eneo hilo, mwingine ni mgeni hivyo hana sehemu ya ndani ya kujificha ili apate kula. ISITOSHE, kufunga ni kutengeneza CONNECTION ya TOBA na MUNGU( Unapopiga mtu kwa kosa la kula unaingia kwenye DHAMBI. Wewe umekula DAKU alfajiri na wakati huyo mtu...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    Badala ya kufanya jitihada ujikwamue kwenye umasikini wako, umekalia kumsema NYERERE, kana kwamba nchi zote DUNIANI hazina matatizo ya kuanguka kiuchumi na hatimaye kuinuka na kufanya vizuri. Kushindwa kwa TANZANIA kuwa na uchumi wa juu hakujasababishwa na NYERERE kumesababishwa na watanzania...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Tanzania halikuwa ujamaa wala vita vya Kagera bali ombwe la uongozi

    NYERERE alipewa uwaziri mkuu, hatimaye uraisi wa nchi, Kwasababu alionekana ana sifa za kuwa kiongozi mkuu wa Tanganyika na hatimaye TANZANIA kuliko watu wote waliokuwepo wakati wake akiwemo na babu wa baba yako. Nasisitiza acha UTOTO, DOLA nyingi(empires), zimeanguka DUNIANI (Greece, Roman...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Historia ya Ali Hassan Mwinyi kama Rais haiko wazi

    Sasa rafiki wa China na Marekani si non-alignment movement hiyo?
  11. R

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

    Acha uwongo wewe. Kuuzwa kwa gesi ya Mtwara, kuuzwa kwa madini,kuuzwa kwa loliondo, ugomvi wa kuchinja mwaka 2012, umwagiwaji tindikali viongozi wa dini, magaidi wa KIBITI, nk, kwani yalisababishwa na NYERERE? Watu wengine Wana akili ndogo sana ya kuchanganua mambo?
  12. R

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

    Kwani kuhama kwako ukatoliki Kuna mpa hasara nani?, Hama kwa hasara yako mwenyewe. KUMBUKA, DAUDI aliua Kwasababu ya mwanamke( alimwuua URIA). Sasa hivi DAUDI Yuko MBINGUNI.( Sasa, kutangazwa NYERERE kuwa mtakatifu Kuna ubaya gani kama amekidhi vigezo?)
  13. R

    JamiiForums Tanzania Nyerere alikuwa mkoloni mwenye ngozi nyeusi

    "Mambo ya mwenye heri" yana utaalamu wake siyo SIASA HIYO!, DAUDI alichukua mke wa mtu(Uria) na aliua sana, lakini wa siku yupo MBINGUNI. KATIKA maisha ya NYERERE angalia " intention ya NYERERE ilikuwa nini? Je, aliminya demokrasia ili aibe AU asaidie watu?, KAMA uminyaji huo wa demokrasia...
  14. R

    JamiiForums Tanzania AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

    Acha kukariri mawazo tumia akili! Alshababu, boko haramu, alqaida( na mauaji yake ya September 11, 2001), wale wanaojitoa mhanga kwa kuvaa mabomu, wale wauaji wa kule Msumbiji, nk. Kwa tabia hizi hata kama akiwa mtoto wako hutampenda( Kwahiyo, kinachochukiwa hapo ni tabia siyo dini). MBAYA...
Back
Top Bottom