Mkuu Pasco
Nakuheshimu sana ila katika hilo la kusema watu wana wivu wa kike umechemka,hapa watu wana question vitu kutokana na reality,umeona wengine wamesema mpaka uwezo wake wa darasani nk,pia mkono alitajirishwa na system mbovu ya serikali,soma historia yake,pili kuna kesi nyingi tu...