Nasema hivi, haiwezekani afanye hivi ni kinyume na taratibu za wanaume wanojielewa, tunampinga na tutazid kumpinga kutokana na jwamba ameamua kusaliti makubaliano ya Chama cha wanaume timamu Tz...Binafsi imeniuma mnoo 🤢, natangaza rasmi kuanzia sasa huyu tunambyang'anya kadi ya uanachama
Mbona Demu wa Kawaida sqnaaa kupita maelezo, kilichombeba tu ni hyo rangi kwakweli ila sio wa kunifanya nimuhonge hata laki 1, huyo labda 30,000 inatosha zaidi ya hapo akatafute boya asiejua wazuri wapoje 😊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.