Recent content by REALESTATE

  1. R

    JamiiForums Tanzania Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Comments nying ni wasikilizaji wa BBC na CNN... Laiti ungekuwa unajua vikwazo alivyo wekewa Iran kwa miaka mingapi na wameishi vipi? Mngewaheshimu uzalendo na akili kubwa waliyonayo waajemi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Ukraine yaharibu ndege vita 40 za Urusi leo

    Ukraine kawekwa chambo wa magharibi wazee wa GEOPOLITICS wanaelewa... Ukraine anazidi kupoteza manpower na ardhi yake. Ngoja Urusi atume majibu
  3. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Saidi Kazumari Mlapanya hili la Mayelle na George Mpole Ulipuyanga

    Hehehehe... aiseh mpira hautabiriki
  4. R

    JamiiForums Tanzania JF diaries

    Vijana wengi wekeza kwenye skills specific na kuziweka officially, kuna wasomi wengi hawaoni fusra. Hiyo ndo chance ya kupunguza umaskini. Tender za ufundi nying kwenye miradi ya serikali na tasisi binafsi zipo iddle wavaa suti hawaziwezi. @@@
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Samia atapata tabu sana Lissu siyo Besigye

    Demokrasia ni rahisi sana kupandikiza vibaraka, Tanzania inatakiwa iwe na mfumo wake na maono au sera za long term ambaye yyote atakae ingia aendeleze. Na cashflow ya mapato iwe wazi. Yaani hata Samia akitoka awekwe Lisu sidhani kama kuna jipya.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Samia atapata tabu sana Lissu siyo Besigye

    Mfumo wa demokrasia hujawai kuleta maendeleo ya kweli kwa mwanachi. Nitajie nchi mbili tu duniani zenye demokrasia zimeleta maendeleo kwa wananchi wake?? Jibu ni HAMNA.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mwambieni Samia atapata tabu sana Lissu siyo Besigye

    Yaani.. watu wana sahau quick fast.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Iwe kasoma Kayumba au EMs bado mwanao ana nafasi ya kufanikiwa maishani ukizingatia malezi bora

    Kwa malezi haya walahi umaskini utaoungua sana. Unakuta wazazi wanalipa millions of money out of their budget wakitegemea ndo malezi.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Uzushi mwingine kumhusu Ibrahim Traore!

    Kwasasa hamna Raisi smart kama Ibrahim Traore. Sisi watu weusi tunaamini sana akisema mzungu. Hiyo ni akili ya kiutumwa.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Waafrika tuanze kuona kuwa adui yetu ni "mzungu"

    Ngumu sana watu weusi wengi ni masnitch na wenye tamaa... yaani kigeu geu. Hii vita ya kujikomboa ni ngumu sana. Mzungu katuondolea uasili wetu na tumecopy kwao.
  11. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni changamoto

    Umma umeoza
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni changamoto

    Hawa wana ushetani
  13. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni changamoto

    You're so lucky...
  14. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni changamoto

    Nimepita kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii... Aiseh ni ganzi. Ni tamaa, mapenzi au kujienekeza. Mwanamke yupo kwenye ndoa lakini akarudiana na EX wake na wakazaa hadi mtoto
  15. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hasara za kuwa baba wa kambo

    Hehehehe... huu uzi bado ni indirect unawahusu masingle mothers.
Back
Top Bottom