Msichokijua lissu ni team msoga toka kitambo tu na alitumika barabara kumshambulia magufuli enzi zile na alimchafua vilivyo. Sasa this time anaendelea kuplay part yake kwa kuwapoteza chadema kwenye uchaguzi wake 2025 isishiriki ili ccm waendelee kulitawala bunge kwa miaka mingine mitano. Huyu...
Wengi wanadhani kwamba Lissu ndo mkombozi wao kisiasa huku “no reform no election” ikionekana kama ndo mapinduzi rasmi katika uchaguzi na kupelekea mapinduzi makubwa ya uraisi endapo movement ikifanikiwa.
Ila msichokijua ni kwamba “no reform na no election”imeletwa kama distraction ya uchaguzi...
Kujua life path chukua tarehe yako rasmi ya kuzaliwa then jumlisha namba zote upate namba moja. Mfano umezaliwa June 24 2025. Utachuku 24/06/2025 utajumlisha namba zote (2+4+0+6+2+0+2+5) utapata 21 Kisha utaijumlisha tena 21 kupata (2+1)=3. Basi hiyo Tatu ndio life path yako. Ili kupata nyota...
Hujui kama kuna mgomo baridi kuhusu maendeleo ya dodoma,Hujui kama kuna watu hawataki maendeleo kuletwa dodoma.unajua kuwa ile budget ya uwanja wa samia Arusha ilikitakiwa iwekwe ijenge dodoma. Huko maendeleo yanapelekwa kishingo upande wanaihujumu kimakusudi Dodoma. Hata ule uwanja wa Ndege wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.