Serikali wapeni watumishi stahiki yao ya Annual increment kama ilivyo kwenye mikataba.Mpaka mwezi huu unaisha hawajapata hii haki yao ya msingi.
Ninyi huko mnaneemeka na kujipa kila stahiki kwa jinsi mnavyotaka.
Mama Samia hii ni dhuluma kubwa,hata Mungu hapendi.Mtapigwa mapigo saba na Mungu
Serikali wekeni annual increments za watumishi kulingana na mikataba na makubaliano yalivyo.Kutofanya hivyo ni ukandamizaji na si sawa Mwaka unaisha lakini kupo kimya,annual increment ni haki kwa watumishi.
Asanteni kwa pole zenu Mungu awabariki. Dogo amezikwa leo na ni simanzi kuu imetawala.
Hatuelewi kilichotokea ni nini?
Ila watoto hawapo salama huko JKT.
Mungu yupo.
Dogo amekufa kifo kibaya sana na ni uzembe wa wasimamizi wao.
Tumeumia,tumeumia sanaaaaa, Natamani watoa maamuzi wa huu ujinga nao wafe kwa maumivu kama haya.
Kwanza watoto hawaendi kufundishwa kitu bali kufanyishwa kazi na mabinti kufanyiwa unyanyasaji wa namna nyingi.
Moyo wangu unauma Franco...
Kuna kifo cha kizembe cha mwanafunzi wa kidato cha 6 huko Jkt kambi ya Itaka Songwe(zamani Mbeya).
Watoto wamepelekwa kwenye kubangua mahindi kwenye mashine mbovu,na mbaya zaidi operator akaondoka na kuwaacha wao peke yao. Badae mikanda ikatoka na kumvutia kwenye mashine na kumchanachana mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.