Recent content by razac razac

  1. R

    Mnaotetea Rais Magufuli kutohudhuria mikutano mikubwa ya kimataifa someni hapa

    Magufuli piga kazi baba, maneno yao hayana jipya.!
  2. R

    Aisee hivi huyu mke ni mzuri?

    Km sio bwabwa huyu ni bahati....
  3. R

    Kwa nini Ajali zimeongezeka mwezi wa Nne?Askari barabarani wanachangia asilimia 30%

    Sijakuelewa mwandishi ivi wewe upo kwenye gari inatembea uone MTU anapewa hela, tena ukaitambua kuwa n buku,bado na gari iliokuwa ikikaguliwa ukaona siti zake kua hazina mikanda, na Bado unathibitisha kuwa Askari walikubaliana kupokea 1000,30000,au 5000.. Binafsi Sijakuelewa....
  4. R

    Rais Magufuli amesema akitoka Arusha anakwenda ziara Mkoa wa Iringa

    Agola,,, kalale, na Ukiamka kunywa maji mengi ili pombe ulizokunywa Ziwe zimeisha nguvu, alafu uombe msamaha kwa ujinga uliouchangia Hapa....
  5. R

    Mabilioni anayotoa Rais Magufuli ni pesa zake binafsi?

    Mleta mada hajielewi, unatokwa povu bila kujijua unachokisema, tuwe tunajaribu Kufanya utafiti wa Jambo lolote Kabla hatujalileta humu,mbulukenge....
  6. R

    Nimeota Man Utd ametolewa kwenye UEFA

    Man uuuuuuu
  7. R

    Kiingereza cha kwenye hukumu ya mbunge Sugu na masahihisho yake

    Sioni sababu YA mtoa mada kutokwa povu kuhusiana na kingereza cha hukumu Hiyo, kwasababu kwanza sio lugha ya kuzaliwa ya Mh aliendika Hiyo hukumu, pili Mbona wazungu wakija hapa kujifunza kiswahili huwa wanaongea vitu vyaajabu lkn hamuwashangai, na je Hiyo hukumu imeeleweka au laa,usiwe mtumwa...
  8. R

    Tambua siri ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

    Mleta mada binafsi naona unalengo zuri,lkn naona km hutumii maneno yakawaida ambayo mtu yeyote akisoma anaweza kutoka na ktu, mfano Kwann usiweke wazi kitafunwa ambacho mtu anaweza anaweza kunywa na chai kuliko kusema ooh protin Sijui kitu gani,ili elimu ifike kwa usahihi km ulivokusudia..
  9. R

    Nimeanza mwaka natongozwa sana hadi naogopa

    Eti vijana wa makamo kwenye 30's na watu Wazima wa 50,nikajua wewe n kigoli, Mbona hata wewe n mtu mzima hadi una mtoto, au upo under 18,Kula maisha nawakubwa wenzio wewe...
Back
Top Bottom