Sijakuelewa mwandishi ivi wewe upo kwenye gari inatembea uone MTU anapewa hela, tena ukaitambua kuwa n buku,bado na gari iliokuwa ikikaguliwa ukaona siti zake kua hazina mikanda, na Bado unathibitisha kuwa Askari walikubaliana kupokea 1000,30000,au 5000.. Binafsi Sijakuelewa....
Sioni sababu YA mtoa mada kutokwa povu kuhusiana na kingereza cha hukumu Hiyo, kwasababu kwanza sio lugha ya kuzaliwa ya Mh aliendika Hiyo hukumu, pili Mbona wazungu wakija hapa kujifunza kiswahili huwa wanaongea vitu vyaajabu lkn hamuwashangai, na je Hiyo hukumu imeeleweka au laa,usiwe mtumwa...
Mleta mada binafsi naona unalengo zuri,lkn naona km hutumii maneno yakawaida ambayo mtu yeyote akisoma anaweza kutoka na ktu, mfano Kwann usiweke wazi kitafunwa ambacho mtu anaweza anaweza kunywa na chai kuliko kusema ooh protin Sijui kitu gani,ili elimu ifike kwa usahihi km ulivokusudia..
Eti vijana wa makamo kwenye 30's na watu Wazima wa 50,nikajua wewe n kigoli, Mbona hata wewe n mtu mzima hadi una mtoto, au upo under 18,Kula maisha nawakubwa wenzio wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.