Recent content by Rayzuh

  1. Rayzuh

    Gharama za kupata CPA

    Mpaka kuipata hyo CPA sijajua kwanini ina gharama kiasi kikubwa hivyo, na hata hawaogopi kututangazia hizo gharama. Watoto wa maskini wanaumia kutokufika malengo yao. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Rayzuh

    Computer internet

    Mm nashndwa kweny samsung naambiwa turn of data saver na nkfanya hvyo bado hola
  3. Rayzuh

    Mwenye tetesi kuhusu batch three

    4th batch tarehe 11 Nov wadau
  4. Rayzuh

    Muongozo wa correction Hesbl

    Huu apa wakubwa
  5. Rayzuh

    Kuhusu marekebisho ya maombi ya mkopo

    Wakubwa ipo kwenye website yao...muongozo huo
  6. Rayzuh

    Kuhusu marekebisho ya maombi ya mkopo

    Bac tupe huo muongozo maana m nlwapigia majb waliyonipa yakukatisha tamaa
  7. Rayzuh

    BAC VS BAF

    Na cc fresh from school hatujasoma masomo ya biashara tumepata BAF mzumbe tutastahimili kweli?
  8. Rayzuh

    Incomplete Hesbl

    Kwenye website ya Hesbl jana
  9. Rayzuh

    Incomplete Hesbl

    K Kwenye account yangu
  10. Rayzuh

    Incomplete Hesbl

    N taarifa muhimu kutoka bodi ya mkopo ilihitaji waombaj kukagua account zao ili kujua kama yamefanyika kikamilifu
  11. Rayzuh

    Incomplete Hesbl

    Nmekuwa very disappointed baada ya process nzima ya uombaji mkopo wa elimu ya juu kuwa incomplete na imeandkwa kureapply mpaka november 1 2019 hadi november 11 2019 ambapo muda wa masomo kuanza n tayari.
Back
Top Bottom