Mpaka kuipata hyo CPA sijajua kwanini ina gharama kiasi kikubwa hivyo, na hata hawaogopi kututangazia hizo gharama.
Watoto wa maskini wanaumia kutokufika malengo yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekuwa very disappointed baada ya process nzima ya uombaji mkopo wa elimu ya juu kuwa incomplete na imeandkwa kureapply mpaka november 1 2019 hadi november 11 2019 ambapo muda wa masomo kuanza n tayari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.