Kuhusu marekebisho ya maombi ya mkopo

Kuhusu marekebisho ya maombi ya mkopo

King More

Senior Member
Joined
Feb 1, 2016
Posts
102
Reaction score
54
Habari JF,

Baada ya bodi ya mikopo kutoa orodha ya majina kwa watu ambao fomu zao zina makosa, na wakadai watatoa mwongozo wa namna ya kufanya, sijui watatoa lini?

Ombi kwenu, huo mwongozo ukitoa msisite kutupia humu ili tuweze kuufanyia kazi
 
Kuwa karibu na mtandao na nyaraka unazo takiwa ku upload haitochukua sekunde
 
anii awaa bodii ata sjui inakuaje au ndo wanatutemaa kiivo asee mana siku ya pili ii ata hakuna muongozo wowote jinsi yakufanya mabadiriko
 
anii awaa bodii ata sjui inakuaje au ndo wanatutemaa kiivo asee mana siku ya pili ii ata hakuna muongozo wowote jinsi yakufanya mabadiriko
Yaani ni ajabu sana, walisema hili zoezi ni la siku nne saivi siku mbili zimekatika bila mwongozo wwte huu nao ni uhuni tu
 
Ngoja wewe, mitambo bado haijakaa poa, soon muongozo utawashukia
 
Bac tupe huo muongozo maana m nlwapigia majb waliyonipa yakukatisha tamaa
 
Wakubwa ipo kwenye website yao...muongozo huo
Screenshot_20191001-191539_Chrome.jpeg
Screenshot_20191001-191549_Chrome.jpeg
 
nilivyo ambiwa kua kama jina lako halijatokea kwenye list ile ya incomplete we subir mwakan tu ndyo mana kuna ishu kama ya estate☝☝☝
 
anii awaa bodii ata sjui inakuaje au ndo wanatutemaa kiivo asee mana siku ya pili ii ata hakuna muongozo wowote jinsi yakufanya mabadiriko
Aliye andika hayo maneno hapo ni form six leaver au ni std four leaver.... Eti "anii awa bodi" kama vipi rudi kaanze std one ujifunze mwandiko kwanza
 
kuna dogo kakosea ku apload page2 kaprint kasain na confirm Baada ya kujaza upya.
 
Back
Top Bottom