Recent content by raypaco

  1. R

    Usafiri 5000/= per day kutoka kwako mpaka kazini kwako na kukurudisha

    Mi nakaa chanika nafanyia seaclif ntashukuru kwa huduma yenu
  2. R

    Ili ufanikiwe kiuchumi lazima kwanza uwe na afya njema

    Sasa ww unapikia nn? Sufuria au? Una mpango wa kuishi duniani miaka 100? Ujue usijue hayo uliyoyataja lazma tufe tu!
  3. R

    Maji home delivery

    Una kibali cha TBS?
  4. R

    Nanua Matairi ya magari

    Marie stopes kuna bid ya matairi chakavu njoo jumatatu uone u bid on my behalf 0767180565 call me.
  5. R

    JIHADHARI: VODACOM wajanja night offer ni 1GB...

    Hamia Airtel, Hakatwi mtu hapa!
  6. R

    Chartered Technology - New State-of-the-Art Security Technology Solutions

    Company ina account ya gmail??? Hamna hata domain, mtaaminika vp? Wizi mtupu
  7. R

    Mikopo, Mikopo, Mikopo....... Kwa Wafanyabiasharaaaaa

    Bank gani ina email ya yahoo? Scam tu hizo
  8. R

    Fursa za biashara uchina

    Kuna sembe na dona,chagua moja
  9. R

    Nafasi mpya za kazi tanzania international universty

    Kwanza hamna chuo cha kimataifa wanatumia e-mail za yahoo au gmail or whatsoever, chuo kinatakiwa kuwa na registerd academic domain yani mfano www.university.ac.tz . Hawa ni email address seekers, nowadays kuna kitu kinaitwa e-mail marketing, what they do ni kupata as much email addresses as...
  10. R

    Utapeli kupitia centre for environment protection.

    Huyu mtu ni tapeli na leo kamtumia mtu same message akidai 40,000, namba ya huyo Rachael Mwakapalila ni 0713749735. Atachukuliwa hatua tu, huezi kua chuma ulete.
  11. R

    Mbona mapenzi na huyu mrembo yananiathiri kisaikolojia nifanyeje wadau?

    Kaka wanawake kama sahani kwa mama ntilie,ukishakula wewe inaoshwa analia mwingine,so usiumize kichwa,huyo katoka advance juzi unamuita mkeo mtarajiwa,after 4years hao watakaotoka advance mwaka huo utawaitaje? Wanawake kama samaki kila siku wanazaliwa wengine,just hit! Na usiumize kichwa,mke...
  12. R

    Najua wanaume wengi wamepitia hii kitu naombeni mnishauri mliwezaje kuacha?

    Umenichekesha kweli,watu wanatafuta dawa ya kuacha sigara na pombe wewe unashindwa kuacha masturbation? Nigger please!
  13. R

    Ushauri please!!

    Take time kumsoma ni vipi anapenda na vipi hapendi,to know a woman its hard but very simple techniques u can use unamjua,know her hobbies and try kuiga na wewe akikuzoea atafunguka tu,so far mwaka mmoja ni bado kumjua in deep,kua nae most of the time,na mshirikishane mambo yenu ya...
Back
Top Bottom