Mwakitobile
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 452
- 120
Mambo guyz me ndo rachel ambaye hiyo issue inanihusu,isee nimeshanggaa sana ,simfahamu huyo mtu,na nashangaa kwa nini kaamua kutumia jina langu,hiyo namba sio yangu, me namba yangu imeeishia 66 ni tigo 12, jaman msinisome vibaya,me kwanza nipo iringa nafanya kazi restless development.jina halisi ni rachel kabwelile,hilo mwakapalila ni jina lingine la mzee wangu,so nikaamua kutumia facebuk kwa ajili ya usalama kwenye masuala ya kazi,nimefahamu iyo ishu sasa hivi. I beg guyz sio rachel mimi huyu mtu kaamua tu kunichafua,me sio tapaeli wala sijawahi kufanya utapeli.
Sawa tumekuelewa,lakini jua kuwa mpaka sasa hivi hili suala limeshafika Takukuru,TCRA na kwenye vyombo vya usalama,kwahiyo ushirikiano wako utahitajika ili kuweza kujua ukweli,kwani hata hao Centre for enviroment protection wamehaidi kutoa ushirikiano.Pia wote waliotumiwa hiyo Sms wasiifute na waiwasilishe Takukuru ofisi za wilaya au mkoa ili zije zitumike kama ushahidi.