Mashirika mengine ya umma yamebadilika isipokuwa nyie DAWASA.
Mna very funny attitude towards wateja wenu, mnawaona kama wao ndio wenye shida ya huduma, badala ya kuwa na mtazamo wa Give and Take.
TANESCO walishaacha huo ushamba, badilikeni.
Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.