Recent content by Ray2012

  1. R

    In This Country, Politics is Just a Game of Power, Betrayal, and Survival

    Well said, 💯 political aspirants are only looking at their personal financial gains and popularity, leaving accountability unspoken
  2. R

    Ufanye nini mwenye pesa akikupora mke?

    Ohooooo 🤣🤣🤣
  3. R

    Mauaji ya kiroho Kenya, Tanzania tuko hatarini

    Natamani hapa kwetu bongo wadondoke kama buku hivi, maana sikio la kufa halisikii dawa
  4. R

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Mashirika mengine ya umma yamebadilika isipokuwa nyie DAWASA. Mna very funny attitude towards wateja wenu, mnawaona kama wao ndio wenye shida ya huduma, badala ya kuwa na mtazamo wa Give and Take. TANESCO walishaacha huo ushamba, badilikeni.
  5. R

    Kwanini Paschal Mayalla amekuwa mnafiki?

    BC. C cccccccccccc. C c. B BRN g
  6. R

    Ugonjwa wa scabies aka Burudani una madhara?

    Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. R

    Makonda Unaanzisha Mambo Hayafiki Mwisho Bali Mbwembwe tuu

    Dah, naona mnatoa za uso bila kumung'unya maneno, teh!
  8. R

    Baada ya madereva wenye vyeti fake kutimuliwa Ajali za STK, STJ, SU na DFP zimeshamiri

    Tushauri pia nini kifanyike, maana abiria ni mimi na wewe
  9. R

    Dodoma: Ajali ya gari la CAG, yaua watu 7 baada ya kugongana na gari la NSSF

    Ajali mbaya sana, Mungu awapumzishe mahali pema. Hizo VX sasa zimegeuka makaburi dah
  10. R

    Natarajia Kuanza kujikita zaidi katika Kufanya ' Uganga ' wa Kuzuia ' Utekwaji ' na Kuondoa ' Matege ' nchini Tanzania

    Wakati ukijiandaa na huduma hiyo bwana Genta kwa sasa nashauri waganga wote wafutiwe usajiri wao, Haiwezekani washindwe kumwona MO alipo, ah
  11. R

    Rais anaposema tuzidi kufyatua anajua hali ya huduma ya afya nchini kwetu.

    Tupo kwenye mapinduzi makubwa ya sekta ya afya, usiogope
Back
Top Bottom