Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
- Thread starter
- #141
hahahaaa, usiombee mkuuNa bado
hahahaaa, usiombee mkuuNa bado
Uzoefu unasaidia San hata kama umesoma na una vyeti!hahahaaa, usiombee mkuu
We unawajua madereva na taasisi zote nchini mpaka unataka uhakikishe?Hawana majina ni Madreva wasiojulikana? Na wakiochukuliwa hizo nafasi hawajulikani?!!!! Walikoajiriwa haijulikani!!!!! Ili tutumie hizo taarifa kuhakiki ukweli wa maneno yako?
Dereva awe Kidato cha Nne,Madereva darasa la saba wengi walianzia kuendesha enzi zile za barabara za vumbi Dodoma Mwanza. Pia kutokana na kuwa na elimu ndogo walikuwa wanyeyekevu sana hali iliyochangia kuendesha kwa umakini. Hawa mnaowaita wasomi ndo wanajifanya wajuaji na kukimbiza magari kiasi cha kusababisha ajali. Udereva hauhitaji kuwa na elimu ya kidato cha nne.
mkuu nina maswali mawili unisaidie!
1.Hiyo degree yako ya musuala biashara ulifundisha na udereva na ni chuo gani?
2.PHD ya udereva inatolewa chuo gani?
Hakuna Mahusiano na ajari mkuu,let prays for our believed one who lost their life in those accidents.Nacholiona hapa kila baada ya wiki 3 lazima gari ya.serikali ipate ajali na kuua
My take haya ni masononeko na laana ya familia zilizopoteza kibarua na wanapolala njaa hamuwezi kuwa salama na hii itaendelea hadi katika bila kujali cheo cha mtu watu wanalia kazi za udereva nikazi za kuitaji ujuzi na maarifa na sikuhitaji kwenda chuo kikuu maana akiwa ameenda NIT anaouwezo.wakulijua gari hawa wazee mlio wafukuza laana yaje haitwaacha salama nasema hapa Serikali yangu iliteleza.
Ikubali ilipitiwa.
#AjaliHakuna Mahusiano na ajari mkuu,let prays for our believed one who lost their life in those accidents.
Poleni kwa familia na tunaomba ajari zisitokee tena ktk jina la Yesu.
Amen,
#Tujenge Tanzania mpya.
Kuendesha gari siyo tuu kushika usukani Barabarani. There is something more than that.Hakuna Mahusiano na ajari mkuu,let prays for our believed one who lost their life in those accidents.
Poleni kwa familia na tunaomba ajari zisitokee tena ktk jina la Yesu.
Amen,
#Tujenge Tanzania mpya.
Nianze kwa kuwapa pole wafiwa. Back to the topic... Kazi ya udereva ni kujua kuliendesha gari plus kulijua gari in and out. Hii thru experience tumeona hata std seven wakiimudu vema, Infact sometimes kuliko hata form four. Sasa kwenye Zoezi la vyeti hii kada ilipaswa kuwa treated differently, kwa kuifuata zaidi ujuzi wao kuliko vyeti. Possibly hoja ya mleta uzi ni kwamba baada ya madereva wengi kufukuzwa Ikabidi waajiriwe wa mwendo kasi wenye vyeti but little experience....Hakuna Mahusiano na ajari mkuu,let prays for our believed one who lost their life in those accidents.
Poleni kwa familia na tunaomba ajari zisitokee tena ktk jina la Yesu.
Amen,
#Tujenge Tanzania mpya.
Serikali yetu ni sikivu naamini ipo siku watafanya maamuzi kama waliyoyafanya kwa watendaji wa vijiji waliokuwa wamewafukuza kwa sababu ya wao kuwa drs la sabaNacholiona hapa kila baada ya wiki 3 lazima gari ya.serikali ipate ajali na kuua
My take haya ni masononeko na laana ya familia zilizopoteza kibarua na wanapolala njaa hamuwezi kuwa salama na hii itaendelea hadi katika bila kujali cheo cha mtu watu wanalia kazi za udereva nikazi za kuitaji ujuzi na maarifa na sikuhitaji kwenda chuo kikuu maana akiwa ameenda NIT anaouwezo.wakulijua gari hawa wazee mlio wafukuza laana yaje haitwaacha salama nasema hapa Serikali yangu iliteleza.
Ikubali ilipitiwa.