Recent content by Ray Money

  1. Ray Money

    Uswahilini sana ni pabaya na pananuka sijui mnawezaje kuishi

    Atakayesema mwananyamala A ni uswahili kupitiliza nitamcheka sana.Atakayesema ubungo maziwa ni uswahilini nitamcheka sana tyuuu.Atakayesema mbagala,gongo la mboto,chanika ni uswahili huyu ni kchaa zero brain Sio kwa ubaya jamanii ukweli usemwee tyu Nina marafiki kibao wanakaa mitaa hiyo sijui...
  2. Ray Money

    Happy new year 2020 in advance wote humu ndani. Weka malengo 2020

    Mweee mie njaa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Ray Money

    Arusha ni mji mzuri kwa wapendanao, pazuri sana

    Kwan fukwe ndo kivutio pekee Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Ray Money

    Arusha ni mji mzuri kwa wapendanao, pazuri sana

    Arusha hali yake ya hewa inafaa sanaa tu kwa wale wapendanao, yaani ni fireeeeeee[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305][emoji1305] Jamani, kama unataka kwenda honeymoon, uende Arusha au kama unataka kwenda...
  5. Ray Money

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Si ndo mambo hayo sasa wadada wale pesa tyu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ray Money

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Vibe la j2 vepeee humuuuu Uwe mdada au mkaka mpango dear ni ku-make money mambo ya kupenda ilikua miaka ya 90 ndo real love ilikuwepogoooh mpo hapo??? Mfano wanaume wote 99% ni tamaa tyuu hawajui kupenda mwee mwanamke hata umpe na mumeoo au huyo mpenziooo mpe mpaka nanilou still,atatoka tyuuu...
  7. Ray Money

    Madam Sepenga kujenga SHOPPING MALL Bagamoyo

    Mambo ya sepenga mniulize miee hee huyo kama mimi tyuuu tena namzidiiii alishawah kuwa na bness gn beforeee??? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ray Money

    Happy new year 2020 in advance wote humu ndani. Weka malengo 2020

    Wengi sana just 2 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ray Money

    Happy new year 2020 in advance wote humu ndani. Weka malengo 2020

    Nawatakia new year woteez mashosti na mabitozi wa humuu. 2020 ni planning jomoni anza ku-make plan zakoo sasaa usijisubirishee sawaaa. Kumbuka tyu kutekeleza mipango na malengo yako inaanza leo sio kesho jamani I wish all the best uwiii hata i can't wait 2020 oooogosh!! Sent using Jamii...
  10. Ray Money

    Ni mambo gani ya kuzingatia kwa mtu anayeenda kukaa Marekani?

    Hi guys Nina kasafari huko new york na baadae L.A California but next months huko nina accuracy kwa asilimia kubwa tyuu Sasa jaman ety ni mambo gn ambayo natakiwa nizngatie huko yaani nini na nn nisifanyeee maana he e nikaona nisimuulze huyo kuuhu hili maana ataniona mshambaa Mm sio mshamba...
  11. Ray Money

    Uzi wa vyakula tu

    Endeleeni kufake maisha heheee mnaenda google insta na fb mnacopy picha mnaleta humu ni wachache sana hapa wanapost real wengi mnafake
  12. Ray Money

    Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

    Uongoooohhhhhh nakataa napingana na vanesa sio kweli jux fundi sanaa
Back
Top Bottom