Kwanza huyu mzee ni ndumilakuwili,alishawahi kuwa NCCR mageuzi na alikuwa akiiponda ccm,sasa leo hii anajifanya mnazi wa ccm,huyu ni mnafiki mkubwa watanzania tumpuuze huyu zombi.
Huyu rc wa dodoma hatambui kuwa watanzania wanahaki ya kujadili katiba?wakazi wa Dodoma amkeni,mna haki ya kujadili katiba mahali popote hapo mkoani kwenu,huyu rc hajui alisemalo.
Mkuu dhamila ya chama chakavu(ccm)ni kutokuwa na katiba mpya kinachotokea hivi sasa ni kupoteza mda ili katiba icpatikane na wao waweze kuendelea na katiba ya kifisadi ya serkali 2.watanzania huu c wakati wa kufanywa mabwege,naomba tujiandikishe kwa wingi kwenye daftari la kupigia kura ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.