Recent content by Ravenda.

  1. R

    PAC imeudangaya umma?

    Hujui ulisemalo.
  2. R

    Nafsi yangu inaridhika nikifanya mapenzi na mwanaume Malaya

    Ukosefu wa elimu unakusumbua,thamani ya pochi manyoya yako ni sawa na dampo la kinyerezi.yahitaji ujiunge MEMKWA.
  3. R

    Kuna wakati mwenyezi Mungu anaongea kwa ishara, hivi watawala wetu hawatambui?

    We ni majinoon,ni bora kama huna cha kusema ukae kimya.
  4. R

    Wataalam wa biashara ya mbao toka Mufindi

    Inalipa but unapaswa kuwa na mtaji mkubwa km 10m hv.
  5. R

    Baada ya kufanya naye mapenzi siku moja tuu nikaombwa ninunue simu ya kugusa

    Tambua ya kwamba madem wa sasa wamegeuza papuch kuwa mgodi,hvyo ww nunua tu hiyo cm ili ujihakikishie namba ya kutifua manyoya.
  6. R

    Mgawanyiko baraza la mawaziri: Wengi wakerwa ubaguzi wa ikulu kupitia wasira,lukuvi

    Kwanza huyu mzee ni ndumilakuwili,alishawahi kuwa NCCR mageuzi na alikuwa akiiponda ccm,sasa leo hii anajifanya mnazi wa ccm,huyu ni mnafiki mkubwa watanzania tumpuuze huyu zombi.
  7. R

    Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls’

    Duh,naona mwisho wa dada poa umefika,hongereni wajapan kwa ubunifu huo.
  8. R

    Samuel Sitta abezwa, akosolewa, achambuliwa Kama Karanga! Aelezwa kukosa Sifa Kuu Sita za Uongozi

    Huyu rc wa dodoma hatambui kuwa watanzania wanahaki ya kujadili katiba?wakazi wa Dodoma amkeni,mna haki ya kujadili katiba mahali popote hapo mkoani kwenu,huyu rc hajui alisemalo.
  9. R

    Arsenal vs Manchester city

    Kuwa makini.
  10. R

    Siri ya kudai serikali tatu yagundulika

    Acha uzuzu ww,serikali tatu ndo italeta haki na usawa katika muungano,kasome rasimu vizuri,ucpende kupotosha watu.
  11. R

    KWA KAULI HII YA MH.Kikwete BUNGE LA KATIBA LIVUNJWE

    Mkuu dhamila ya chama chakavu(ccm)ni kutokuwa na katiba mpya kinachotokea hivi sasa ni kupoteza mda ili katiba icpatikane na wao waweze kuendelea na katiba ya kifisadi ya serkali 2.watanzania huu c wakati wa kufanywa mabwege,naomba tujiandikishe kwa wingi kwenye daftari la kupigia kura ili...
  12. R

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Vip,ukija iringa wilaya ya mufindi?
Back
Top Bottom