Recent content by Rationalizer

  1. R

    A shameful battle field

    KUSHINDWA VITA. Mh. Paul Makonda ameshashindwa vita. Sio kosa lake kwa sababu ukienda vitani aidha kuna kupiga au kupigwa ndio maana kuna msemo " Backfire" ambayo inakuja kama KARMA ama LAANA au A COMPLETE DEFEAT na lazima ukubali matokeo na wapenzi wako wakubali kubaki kuwa wafariji wako na sio...
  2. R

    Mlima Kilimanjaro tunalaumu Wakenya, hili la Minjingu je?

    Kama kifungashio/mfuko ni bandia, yaliyomo ndani ya bandia yatakosa kuwa bandia pia?
  3. R

    Mh Waziri Mkuu, Mkoani Arusha umeona hili la migogoro ya ardhi isiyoisha?

    wanaarusha kwa kutumia rasilimali muhumu zaidi ya yote ambayo ni ardhi kwa mtazamo wangu. Mhe. Waziri Mkuu, Arusha ni miongoni mwa Majiji na Mikoa yenye kero kubwa ya migogoro ya ardhi isiyoisha na wakati mwingine mabaraza ya ardhi ya kata na mahakama ya ardhi za wilaya hutiliwa shaka katika...
  4. R

    Mh Waziri Mkuu, Mkoani Arusha umeona hili la migogoro ya ardhi isiyoisha?

    Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, karibu sana Arusha na naamini una mtazamo wa kuleta maendeleo chanya katika jamii ya watanzania wakiwemo wanaarusha kwa kutumia rasilimali muhumu zaidi ya yote ambayo ni ardhi kwa mtazamo wangu. Mhe. Waziri Mkuu, Arusha ni miongoni mwa...
  5. R

    CCM chukueni hatua ya kumhoji Bashe ili athibitishe tuhuma zake

    Hivi kusema "Si Lowassa pekee, wengi wameonewa CCM" ndio ishu kuliko kauli za viongozi wengi wa CCM unaowajua, umma wa watanzania unajua na Dunia inajua kwamba wamekuwa wakisema hadharani kwamba, "CCM inanuka rushwa"? Nadhani hoja yako sio Mh. Bashe, ila Jina la Lowassa limekupofusha macho na...
  6. R

    Tibaijuka: Nimepokea Bilioni ya Mbia wa IPTL! Malipo yalisimamiwa na BoT

    Anna Kajumulo Tibaijuka ni mmoja wa mawaziri waandamizi katika awamu hii ya nne chini ya Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni baba Ridhiwani Kikwete, mbunge wa Chalinze kwa tiketi ya CCM. Tibaijuka ni waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi hapa nchini. Ni wizara nyeti inayobeba...
  7. R

    Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

    Mhe. Nape, tofautisha kati ya kutangaza nia kabla ya wakati na swala la ugawaji rushwa. Ugawaji rushwa ni swala pana sana na hii hutegemea kada mbali mbali za mtoa rushwa, mpokeaji, mazingira ya rushwa yenyewe mfano, kazini, shuleni, hospitalini na popote pale na hasa kwanini rushwa itolewe na...
  8. R

    Katuni ya Kipanya kwa CHADEMA!

    Nawashauri wavuke tu
  9. R

    Nini hatma ya Lowassa akikosa urais 2015?

    Nashangazwa na wale wanaoishi na kutawaliwa na mawazo ya kizamani. If you are not among them, God bless you and if you are among them, why don't you change the scope of you brain's thinking? I advice you let your brain think broadly and never set thinking limits usijefanana na huyo au wale...
  10. R

    Lazima rais Jakaya Kikwete asaini mswada ili jipu lipasuke

    I admire you guy and encourage President Kikwete, to take actions by signing the Bill imediately.
  11. R

    Mawakili wa mh. Pinda waibana LHRC

    The supreme out of war is to win a battle without fighting. Ushindi wa Mh. Pinda utamuumiza Bithimbaaaa na Shademaa yake kuliko virungu!
  12. R

    Picha: Nimeshaanza kazi mliyonituma Wanatanzania na wana CCM hapa Marekani

    Saafi sana mwiguluuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! They are thirsty of 2015 general elections but they will finally find that victory goes to c-c-m! Our big party. They better push 2015 ahead if they can but, they should know that, we are always above them and they will keep being bellow us...
  13. R

    Baada ya Tabora Lowassa aunguruma Shinyanga

    Read between the lines and think out of the box, His excellency, The President of The United Republic of Tanzania will be no one else in 2015 other than Honorable Edward Ngoyai Lowassa. Believe me you, Olaigwani is just next to the Door of the State House. And when he enters, all cocroaches...
  14. R

    William Lukuvi amvua nguo Tundu Lissu

    . Unadhani Mh. Lukuvi hajasoma kama Godbless Lema alivyo nini? Lukuvi ni Tembo chezea weyeeeeeeeeeee!
Back
Top Bottom