OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #21
Uhuni tu anafanya...
uhuni kivp,fafanua uhuni umetoka wap hapo?
Uhuni tu anafanya...
Al Usttadh Fisadi Lowassa baada ya kupigwa stop kupepeleka mabilioni yake ya uuzaji wa unga katika nyumba za ibada sasa limekuja na utaratibu mpya wa kuzurura mikoani ili kutafuta umaarufu. Hatufai kabisa huyu tumpige vita kwa nguvu zetu zote.
Ni wenye hekima tu ndiyo wanajua huyu fisadi ni hatari, lakini kwa watu wenye uchu wa kupewa vijisenti kama nyie ndiyo mnafagilia ujinga, tunataka tanzania/ tanganyika iliyo safi. hizi pesa anazo tupa hovyo atazirudisha vip akiisha kuwa rais, fungua akili yako, labda kama uko hapa kama kibaraka!we ndo utampiga vita,watz wote ngashtukaaaa kuwa lowasa alitolew kama kafara,kwhyo hyo roho ya kishetani umebaki nayo mwenyewe mbee
we ndo utampiga vita,watz wote ngashtukaaaa kuwa lowasa alitolew kama kafara,kwhyo hyo roho ya kishetani umebaki nayo mwenyewe mbee
Tunafahamu ni jin7i gani wazee wa kimila walivyoathiriwa na umasiki huku kwetu siku hizi hata ukitaka upewe urithi ambao alistahili kupewa mdogo wako we kaa nao vizuri tu, hivyo kwasabdu ya kipato jamaa anatumia uzaifu huo kukuaminisha wewe na wengine wasiujua haya mambo kuwa jamaa anakubalika, jiulize Nyerere alipendwa na wazee wangaph mbona hakupewa iivi vyeo kwa kas4 hivi hata kule umasaini ambako yeye ni mgeni maana ye ni mmeru ni kweli kwana haku mzee wa heshima na anayejua mila zaidi na mkubwa zaidi yake, wako ila? Pesa. Kuwa makini
Ni wenye hekima tu ndiyo wanajua huyu fisadi ni hatari, lakini kwa watu wenye uchu wa kupewa vijisenti kama nyie ndiyo mnafagilia ujinga, tunataka tanzania/ tanganyika iliyo safi. hizi pesa anazo tupa hovyo atazirudisha vip akiisha kuwa rais, fungua akili yako, labda kama uko hapa kama kibaraka!
we ni ----- kupitiliza, silambi miguu ya fisadi yeyote, na silipwi na yeyote, kama mimi nimeandika upuuzi wewe utakuwa umeandika matapisha, acha ulimbukeni, kujikomba kwa mafisadi ni ufinyu wa akili...sikulazimishi maana ndiyo mlivyo jizoesha kuishi mjini kiujanjaungekuw na hekima usingeandka upuz kama huo,ila mi sikulaumu coz njaa ndio inayokuendesha,ila kwasabu bs umekuw mlemavu wa akili na hakuna njia nyngne ya kukusaidia,jitahd bs hata watoto wasiigr tabia yako ya kutegemea kupost kitu jamii ili usife njaa
we ni ----- kupitiliza, silambi miguu ya fisadi yeyote, na silipwi na yeyote, kama mimi nimeandika upuuzi wewe utakuwa umeandika matapisha, acha ulimbukeni, kujikomba kwa mafisadi ni ufinyu wa akili...sikulazimishi maana ndiyo mlivyo jizoesha kuishi mjini kiujanja
we lazima nikilaza we mbaona unamsifia lowasa? ua ndiyo mzee, ninacho lalamika mimi si mtu kuwa na pesa tatizo ni wizi ufisadi uliopitiliza, sina shida na utajiri wa mtu...lakini unafisidi mali ya umma kisha nikusifie hapana... kwa taarifa yako mimi sina shida nachopata kinanitosha, tatizo ni nyie msio jua nini la kufanya mpaka kuwasifi majizi... acha kujipumbaza, hiyo mali mnayo sifia nayo ni yenu kawaibia akiwapa kidogo mnapumbazika, ningekuwa na shida kama wewe ningekuwa nasifia majizi... nina maisha yangu yanayo tegema ujuzi wangu...usiwe mjinga!Huo wivu wa kike utakugharimu sana,unamlalamikia lowassa kama mzazi wako,kwnin usimlalamikie mzazi wako aliyekuzaa unalalamikia wanaume,mlaumu mzazi wako aliyekuzaa wakati kina lowassa wakitafuta hela mzazi wako alikuwa ananyoa panki na kujisifia,sasa inabdi urithi hyo panki,
we lazima nikilaza we mbaona unamsifia lowasa? ua ndiyo mzee, ninacho lalamika mimi si mtu kuwa na pesa tatizo ni wizi ufisadi uliopitiliza, sina shida na utajiri wa mtu...lakini unafisidi mali ya umma kisha nikusifie hapana... kwa taarifa yako mimi sina shida nachopata kinanitosha, tatizo ni nyie msio jua nini la kufanya mpaka kuwasifi majizi... acha kujipumbaza, hiyo mali mnayo sifia nayo ni yenu kawaibia akiwapa kidogo mnapumbazika, ningekuwa na shida kama wewe ningekuwa nasifia majizi... nina maisha yangu yanayo tegema ujuzi wangu...usiwe mjinga!
Mwizi alishawahi kukuibia nini?naona we unakalia majungu wakati wenzako wanazidi kumkubali.
Muulize Lowassa kaiba ngapi anazozijua au ni kenge tu kwenye msafara wa mambasasa kama unajuw hilo kwnn unalia lia na hela za wanaume?funga mdomo wako,wivu ulio nao kw lowassa ni bure,hat wazaz wako wanajua kipnd lowassa akitafuta hela wao wanacheza mchezo wa kujificha na baba na mama,sasa kaa vizur tu na wazaz wako watakueleza story zote,ulikosea kukurupuka na kutext uzi wako bila kukaa kitako na wazaz wako wakupe mambo yalivykuwa,najua hunelew kwasab hata id yuko inafafanua ulivyo,sasa hilo gamba nafikir limeota had kwny masabur ndo mana
Muulize Lowassa kaiba ngapi anazozijua au ni kenge tu kwenye msafara wa mamba