ila ingekuwa vizuri kama ungeeleza ni mayai gani hasa unayotaka kufanya biashara ya kisasa au ya kienyeji?
mawazo yangu katika hili,kama ni ya kienyeji inatakiwa uangalie pia soko limekuwa gumu kutokana na kwamba hayatumiki sana kibiashara kwasababu ni madogo na ni gharama haya yanatumika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.