Recent content by rastafari tz

  1. rastafari tz

    Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

    ila ingekuwa vizuri kama ungeeleza ni mayai gani hasa unayotaka kufanya biashara ya kisasa au ya kienyeji? mawazo yangu katika hili,kama ni ya kienyeji inatakiwa uangalie pia soko limekuwa gumu kutokana na kwamba hayatumiki sana kibiashara kwasababu ni madogo na ni gharama haya yanatumika sana...
  2. rastafari tz

    Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dogo anacheki pilau.
  3. rastafari tz

    Hodi hodi

    Karibu sana mkuu.
  4. rastafari tz

    Q-Chillah ft Patoranking - KOKU

    Wimbo mzuri!
  5. rastafari tz

    Diamond anajua kutafuta kwa udi na uvumba aah.

    Anaumaarufu gani mbaka anajadiliwa humu wekeni na picha yake tumuone?
  6. rastafari tz

    Diamond anajua kutafuta kwa udi na uvumba aah.

    Ndio nani huyo wakuu?
  7. rastafari tz

    Hi

    Kijana huku sio badoo kwamba unakuja kuuza sura sasa picha umetuwekea ya nini?
  8. rastafari tz

    Nani mkali kati ya Rayvanny na Harmonize?

    Ndio wakina nani hao?
Back
Top Bottom