Mhere Mwita
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 235
- 1,275
Chadema wilaya ya Geita tunaskitika kutangaza kifo cha Mwenyekiti Wa Chadema Wilaya ya Geita Kamanda Shija Kisenang'wi ambacho kimetokea Leo.
Chanzo cha kifo hakijajulikana ni nini tutawajuza baada ya uchunguzi Wa Madaktari utakapokamilika, Ukweli Tumeondokewa na mpambanaji ambae alikuwa msaada mkubwa ndani ya chama.
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina la Bwana lihidimiwe.
Imetolewa na:
Mhere Mwita,
M/kiti Wa Bavicha (W) ya Geita.
Chanzo cha kifo hakijajulikana ni nini tutawajuza baada ya uchunguzi Wa Madaktari utakapokamilika, Ukweli Tumeondokewa na mpambanaji ambae alikuwa msaada mkubwa ndani ya chama.
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina la Bwana lihidimiwe.
Imetolewa na:
Mhere Mwita,
M/kiti Wa Bavicha (W) ya Geita.