Assad ni mwalimu wangu na nimjuavyo mm si mtu wakuyumbishwa na mtu wa msimamo sikuzote husimamia ukweli nakumbuka nilipokua nikisoma udsm 2004 alikua mkemeaji mkubwa wa matumizi mabaya yaliyokua yakifanya na uongozi wa Luhanga makamo mkuu wa chuo by then hakuogopa kufukuzww kazi alikua akiwapa...
Tatizi la jf ni unazi au unafiki wa uchama, ikitokea kiongozi wa chama fulani afanye kosa hata liwe kubwa na wazi vipi basi hutokea mtu akatetea hilo jambo ilhali hata akili zake zinakiri nikosa. Huu ni unafiki na kwa style hii tz hatuwezi kuendelea maana tutakua hatuadabishani henceforth uovu...
Nimetamani kukutukana tusi la wauza miwili Yao kwa bei chee lkn nimenyuuti.
Ila silazma kupinga kila jambo huyo alikua waziri wa mambo ya nje na sasa kiongozi mwandamizi ktk ccm Hilo halitoshi kuteuliwa.
Hilo usemalo ni Kweli kabisa Hata kikwete alipata kulalama juu ya waraka uliokuwa ukisambazwa makanisani wa kuunga mkono chadema.
Cdm wanaweza kujitetea yakuwa siwadini lkn mazingira waliojiweka nayo hasa sasa baada ya uteuzi mpya ni ya udini hebu angalia safi ya uongozi wao
Mkiti freeman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.