The truth can very well be, kwamba yuko au alikuwa ICU... na siku zote gharama peke yake ya ICU tu ya hospitali kama Aga Khan ya Nairobi inakuwaga juu sana.. siku ukilazwa ICU ya Aga Khan ya Dar-es-salaam tu, utajuwa faida ya kuwa na Insurance ya kimataifa...
Na tusisahau, kama amefanyiwa...
Sasa hiro rinakupa shida?? Kameze hiro jina rako...
Utawa lekebisha wangapi?
Sometimes na mimi pia nafanyaga hivyo, rakini nimechoka kwa kweri....
Na ujue hiro nimechangia tu basi... natafuta tu kiki za asubuhi... ar maalufu 'likes'...
Have a good friday...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zina hatimiliki hizi shamba na kama ndio, umiliki wa kiasi cha shamba litakalo nunuliwa na mteja, je process ya kukatiwa hilo eneo pamoja na kubadilisha umiliki itatangulia hiyo muda ya kulipa huo mkopo au inakuwaje?
Pia hizo mashamba yana maji?
Asante
Mimi sikufafanua kwa haraka zangu kwamba nilikuwa najibu ulivyo uliza "hamna anayejua juu ya hii mambo" au ulisema kitu kama hicho... ndio nilikuwa na make a point tu kwamba sio maada ambayo umepata response kwa haraka kwa sababu mmoja wapo ni many many people are guilty of this shameful sin, na...
Ndio maana tunakosa mvua saa nyingine... hii tukio ukiweza kuifikisha kwa watu wa nchi nzima, sintoshangaa kama zaidi ya nusu ya watu wa nchi nzima itashangilia alichofanywa mzungu... nchi imeoza hii..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.