Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
mkuu hilo shamba lipo karibu na ule mto kama unaenda jaribu ama??
Mkiu upande upi mkuu? Upande wa kulia au kushoto ukitokea Dar?Shamba lipo Mkuranga kupita kimanzichana kijiji cha Mkiu km 6 kutoka barabara kuu iendayo Mtwara, ni heka 35 nauza zote kwa pamoja kila heka 550,000. Hakuna dalali mimi ndiyo mmiliki, kwa mawasiliano 0627748402. Karibuni
Alitaka useme bei iliyokuwa ya chini zaidi, sio hizo kilometa... Be serious!Mkuu ulitaka niseme km 1 kutoka barabarani? Halafu ukikuta sita unione muongo?
Good for you... May God bless you..Kwa shamba langu hiyo ndiyo bei. Na niko serious kuliko unavyofikiria