dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,173
- 5,655
Habari humu ndani,
Hivi katika nchi kama Tanzania kwa mzinifu aliyeolewa/ kuoa na ambaye hajaoa/ hajaolewa katika sheria ya kiislam inaweza kutumika? Kama siyo dhambi itasamehewa kwa kutubu 2?
Karibuni mtupe elimu kwa mnaofahamu, kama haikuhusu ama haujui hekima /busara itumike.
Hivi katika nchi kama Tanzania kwa mzinifu aliyeolewa/ kuoa na ambaye hajaoa/ hajaolewa katika sheria ya kiislam inaweza kutumika? Kama siyo dhambi itasamehewa kwa kutubu 2?
Karibuni mtupe elimu kwa mnaofahamu, kama haikuhusu ama haujui hekima /busara itumike.