Recent content by rashidiiddi

  1. rashidiiddi

    Message to my love Mwifwa

    Ha ha ha ha anadanganywa uyo demu ameshasema 'nafurahia zaidi nikifanya mapenz na we kuliko yoyote' sasa kuna nini tena hapo? Ha ha ha ha ha he acha kujisifu ujinga mzee bibi
  2. rashidiiddi

    Kongamano kubwa la wachawi kufanyika mwaka huu Tanzania

    Sawa tunasubiri mana hata mm mwenyewe nilikuwa tanga kwa bb kuchek plan b.
  3. rashidiiddi

    Nilipotumiwa ujumbe uliosema "Njoo saa nne usiku mume wangu kasafiri"

    Mm mcj niliipata ila nilijua ni mumewe ndo amenitega
  4. rashidiiddi

    Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

    Uyo Malaya tu hana lolote
  5. rashidiiddi

    Msaada: Ananiumiza kila siku ila nashindwa kumuacha kwa jinsi ninavyompenda

    Nimeacha demi juzi Leo Siku ya tatu na Niko poa ushauri wangu, usikumuache kama hujapata mbadala wake hakika utaumia sana maana akili ya mwanadamu haiko hivyo ufikiriavyo na ndo mana mwanzo ulirudi kwake. Ahsante
  6. rashidiiddi

    Kwanini kunakuwa dhana ya "staili kalikali" za kitandani kuhusishwa na umalaya?

    Was was ndio akili lkn itakuwa wao ndo wanajua zaid kuliko we we mkuu hao ni waongo,
  7. rashidiiddi

    Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

    Sasa ndo nini?? Kwani gari wewe ulikuwa nalo? Mbona mshamba wa dar ww???
Back
Top Bottom