Ha ha ha ha anadanganywa uyo demu ameshasema 'nafurahia zaidi nikifanya mapenz na we kuliko yoyote' sasa kuna nini tena hapo? Ha ha ha ha ha he acha kujisifu ujinga mzee bibi
Nimeacha demi juzi Leo Siku ya tatu na Niko poa ushauri wangu, usikumuache kama hujapata mbadala wake hakika utaumia sana maana akili ya mwanadamu haiko hivyo ufikiriavyo na ndo mana mwanzo ulirudi kwake. Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.