kuna mtandao unaitwa halotel utakua hewan kuanzia tar 15 me ntakua wakwanza kuhamia uko cz voda co mama yang wala baba yangu hv vtimb vnanchosha na vi sms 40, nyie lewen cfa mtakuja kufa na cfa zenu na cku zote ngoma ikivuma sna mwshowe hutoboka/hupasuka.
hawez kua rais kwa 7bu kaz hiyo sio ya mchezo kwa style ake ya kuhutubia dk5 cku akitakiwa kuhutubia umoja wa afrika n.k siatatuaibisha wa tz?
na alvyohawez kusimama kwa muda mrefu na wala kutembea kwa ukakamavu sas vp kukagua gwarid atakua anakagua akiwa kwenye wheel chair?
bilion 12 mchezo!!! hta me mwenyewe nkipewa cziach km dj kazchukua ambaye 2limuamin n mpganaj wa haq y me nsichukue.
nnape kasema wapnge kua n uongo hwajala mlungula atoe cd mbna wapo kmya itakua ukwl huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.