Recent content by Rascallone

  1. R

    Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Hizo 25*40 wall tiles zinakaa ngapi?
  2. R

    DED Halmashauri ya Igunga akamatwa, siku chache baada ya kudaiwa kuwepo kwa upigaji kwenye Halmashauri aliyotoka

    "Zichukuliwe hatua kwa sababu Mheshimiwa Rais anahangaika kutafuta fedha kwa ajili ya maendeleo lakini watu wachache wanazifanyia ubadhirifu” alisema Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Mwisho wa kunukuu [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. R

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Imebidi kubalance vitabu na live betting mechi ya simba, vinginevyo hali ilikuwa tete
  4. R

    Takwimu: Simba kiwango kimeshuka

    Real G mbona wewe ni yanga lia lia, inakuwaje kiwango cha Simba kushuka kikutie hofu????
  5. R

    Wenye vyeti vya mafunzo ya Labour Base wanahitajika 3

    Hii inakuwaje kuwaje, hebu nifafanulie kidogo
  6. R

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Profession :Civil Engineering Technician Education: Full Technician Certificate (FTC) Experience: 17 years Location: Dodoma.
  7. R

    Dodoma isiyo na maji ndo ya kufananishwa na Moshi?

    Tuletee picha za boma mbuzi, pasua, fonga etc
  8. R

    Dodoma isiyo na maji ndo ya kufananishwa na Moshi?

    Nimetoka jana na huko pasua, boma mbuzi, fonga ni kama chan'gombe ya zamani pale dodoma! Muwe specific mnapoisimanga dodoma
  9. R

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tunapumzika jangwani.
Back
Top Bottom