Recent content by Rascallone

  1. R

    Wakati tukisubiri vita kubwa sana kati ya Iran na Marekani

    Nani alikuambia? Lini na wapi?
  2. R

    Mzee Butiku: Tukubali tunaye Rais

    Hii siku imeanzishwa lini na ilianzishwa na nani na kwa sheria ipi,? Mbona hatukupumzika?
  3. R

    The Bee Gees: As long as you're having fun, that's the key, Sehemu ya Pili

    Murua kabisa, mara ya kwanza kuwasikia ni nyimbo ya ' Immortality ' waliyoshirikiana na Celine Dion
  4. R

    kiwanja kinauzwa manyoni

    Karibu tuzungumze
  5. R

    kiwanja kinauzwa manyoni

    Kwani wewe upo malawi ipi, kusini au kaskazini
  6. R

    kiwanja kinauzwa manyoni

    Yah kimepimwa tayari
  7. R

    kiwanja kinauzwa manyoni

    Kiwanja kinauzwa manyoni majengo satelite city sqm 1039. Makazi na biashara. Bei 3,000,000. Maongezi yapo
  8. R

    Ulijenga nyumba yako ya kwanza ukiwa na umri gani ?

    Imekuwa kama nilichimbia baraka zangu zote nilipojenga ile nyumba,kila kitu kimekwama. Najuta wakati mwingine
  9. R

    Ulijenga nyumba yako ya kwanza ukiwa na umri gani ?

    32, ila ndiyo hiyo hiyo😂
Back
Top Bottom