Mueleze uyo dada wa kazi wala usione aibu,mm pia nina mtt ww dada angu,ilikua kama ww,dada wa kazi anataka waende sawa,juzi ninemuita,kwa upendo nikamwambia flani ni mwanafunzi,kazi zake nampangia mm,na akumbuke namlipa yy na c huyo mtt wa dada,so afanye kazi zake!na imekua hivyo,mueleze kwa...