TANGAZO LA KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI
Hodi! Kwa gt!
Mwalimu wa shule ya sekondari LULEMBELA, Halmashauri ya Wilaya Mbogwe, Mkoa wa Geita. Anatafuta Mwalimu wa Kubadilishana naye kituo cha kazi.
Mwalimu yeyote aliye Mkoa wa MARA katika Halmashauri zifuatazo,
Halmashauri ya wilaya Rorya...
Inapatikana wapi hiyo mkataba na sisi raia wema tukaisome!! Usije kuwa uatulisha matango pori hapa, ni lini mikataba inayoingia nchi yakawekwa hadharini kwa wananchi!?
Kwahiyo tamisemi ndo NEC ujinga kweli hivi Tanzania kuna wasomi kweli?
Alafu utashangaa vijana machizi wanakuja humu jf kujaza saver tu hapa na utumbo wao mara ooh Lissu, Nape, Kinana shame on you Tanzanians
Chief Kabikula
Unafikiri kwa tangazo lako hilo sisi kama watanzania inatusaidia nini tunaosoma namba!!?
Kuwa basi gt kwa kutuletea hata habari za wapi kunapatikana soko la mchicha hapa bongo
Bandiko linatufundisha nini, au kama vijana wa taifa hili tuliopauka kwa kukosa ajira tunanufaika vipi na gazeti lako hili!?
CCM hooyeeeeeee ahadi tunaitekeleza na inaonekana, wacha waisome namba ee!!!
Uwa nawachukia msiopenda ukweli hakika waafrika tukija kuacha uchawi na utamaduni wakijinga tutapata maendeleo
Aliyetufikisha hapa ni had hao akina baba wa taifa sijui madarakani miaka 200 but hakuna taasisi imara tunayojivunia, katiba ya hovyo kabisa
Anajiangaisha yeye afanye kivyake sasa mazungumzo ya nini na USA? Hapo ndo anajidhalilisha kwahiyo analazimisha mazungumzo na USA kwa kurusha makombora? Huo ni usenge na uoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.