Recent content by ranjan

  1. R

    REDIFINE AFRICA achenj utapeli

    Mkipigwa kipapai muanze kulalamika
  2. R

    REDIFINE AFRICA achenj utapeli

    Hii kampuni Wana tabia hii ya kudhulumu watu , unaweza ukafanya kazi ,baada ya malipo wanakulipa kisichostahili. yaani mtu akufanyie kazi alafu umuweke miezi mitano hujamlipa, huu ni uuaji
  3. R

    REDIFINE AFRICA achenj utapeli

    Kwanza kabisa serikali ingeingilia kati hizi kampuni uchwara zinazovaa mwamvuli wa kufanya research zinazoibuka from know where na kutapeli watoto wa watu, kwa kuwafanyisha kazi kwa shida bila kuwapa malipo baada ya kumaliza kazi. REDIFINE AFRICA huwafanyisha kazi watoto wa kike kwa...
  4. R

    Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

    Hii habari alikusimulia hamisa mwenyewe au moo? Maanà umeongea as if ulikuwa mshikaji mmguu
  5. R

    Wanawake ni muhimu mkatambua hili

    Kwa wanawake naomba mtambue ya kwamba, Kuna makundi matatu ambayo wanaume wana wagrade wanawake walionao:- 1.Mwanamke ambaye unaenda nae geto mwenyewe. 2.Mwanamke ambaye unamwambia ampe bodaboda simu amuelekeze. 3.Mwanamke ambae unamuelekeza jinsi ya kufika geto mwenyewe. Uzi tayari...
  6. R

    Special Thread: Dalali wa Viwanja, Nyumba, Mashamba, Magari nk

    Mk Mkuu ukitaka kufika huko unapanda gari za kwenda wapi?
  7. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Alifanyaje huyo baharia wa 7800?nilink kwenye Hiyo thread nikajionee tafadhal
  8. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Nikapime nn?
  9. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Mkuu wewe ungempa ngapi?
  10. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Nimtumie vipi wakati sijamuita tena
  11. R

    Huyu dada nimueleweje?

    😊😊mkuu angalau umenitia moyo
  12. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Mkuu usinionee Mimi si mpare
  13. R

    Huyu dada nimueleweje?

    Mdada ni high class Sana Tena bonge la sister du,kwa Sasa ameni unblock tunaoeana salaam ila naskia aibu kumuita kipasha kiporo
  14. R

    Kuwa Mwenyekiti wa kamati ya harusi ni kazi sana

    Ni changam changamoto saana
Back
Top Bottom