Recent content by rangya

  1. R

    Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

    Ina maana unataka kutuambia elimu haihusiki kwenye uongozi wa nchi? You are not serious... Tell me that you are just joking. Kizazi hike unawake kukifananisha na cha mirambo?? Are you crazy? duh! mtu mwenye elimu ya kukatakata njiani ataweza kusaini mkataba wowote kwa makini kweli? Au unafikiri...
  2. R

    Uhalali wa plate namba za magari

    DFP ni Donated For Projects
  3. R

    Kuhusu upanuzi wa barabara ya Dar - Chalinze

    "What a shameful nation full of resources but rich of boguses!" - Bondpost wa Jamiiforums Uliyeandika hiyo Comment hapo juu una wazimu wewe! yaani barabara kupanuliwa ili kurahisisha usafiri unaita Bogus? Una wazimu na wendawazimu wewe!!
  4. R

    WAFUNGWA WANAKULA MARA MBILI TU KWA SIKU, jioni wanalala polepole

    Duh! Mi hadi saa hizi nimepiga desh! ningeipata hiyo menyu na kikombe cha maji ingekuwa bomba kinoma! Bora nirudi jela...
  5. R

    Mahakama kuu kesho: Ruling ya kesi ya lwakatare

    Kwenye ile tape kuna mahali anasema "Fanyeni kama ile ya Igunga ama Morogoro" kwani kule walifanya nini?
  6. R

    NHIF sasa ni zaidi ya fao la kujitoa!

    Kwanza inaonekana wewe si mfanyakazi. Pipili usiyoila???
  7. R

    Fao la kujitoa mifuko ya Hifadhi ya Jamii kurudishwa

    nahisi kama hiyo doc imekuwa forged. mbona signatory ni mmoja tu? alafu hakuna muhuri wowote
  8. R

    Mafuriko Dar, mvua kali ikiambatana na radi yanyesha, umeme wakatwa

    Im Sick and tired of lazy Tanzanians who thinks that everything wrong in our country should be fixed by our government. Hivi wewe unapojenga mabondeni unategemea nini? wakati Makamba alipokuwa mkuu wa mkoa alipoagiza watu wote waliojenga mabondeni wahame ama sivyo serikali itabomoa nyumba zao si...
Back
Top Bottom