Mahakama kuu kesho: Ruling ya kesi ya lwakatare

Mahakama kuu kesho: Ruling ya kesi ya lwakatare

Yote tunamuachia Mungu kwani kwake akuna lishindwalo na hakika kwake tunategemea haki itapatikana AMEN.
 
Sijaona ubaya wa alichokisema lwakatare katika ile video, afadhali yeye amepinga sana mambo ya uuaji na kutesa watu anachosema ni kwamba alitaka wamtishie mtu anayewavuga, which means huyu jamaa hana roho ya kikatili kama wanasiasa wetu wa chama tawala waliomwagia sumu mwakyembe na mwandosya na baadhi ya mapolisi wetu kama wale walioua jamaa wa mahenge na ku assasinate mwangosi, kinachoikuza ishu ya lwakatare ni kwaba yeye amekamatwa wakati wengine hawajakamatwa, bado namuamini lwakatare nimempa kura yangu alipokuwa cuf na alipohamia chadema na akirudi tena kugombea ntakwenda bukoba kupiga kura tena

Kwenye ile tape kuna mahali anasema "Fanyeni kama ile ya Igunga ama Morogoro" kwani kule walifanya nini?
 
Kwa vyovyote kesi itaahirishwa watadai bado kuna mambo hayajakaa vizuri au fulani kasafiri n.k.
Ila watu wanawaza kwamba yawezekana Lwakatare, Ludovick na Mwigulu lao ni moja....
 
Wanakagera na watanzania kwa pamoja tunamwachia MUNGU atamtangulia, na kwa hilo, hatutaki kusema 2015 kutatokea nini, Mabumba jana bungeni kasema (anayedhani amesimama awe makini asiche akaanguka) 2015 watatukuta.:teeth:
 
Achilia mbali kuwa video ile ilkuwa ya kweli kabisa , hata kama angekuwa amesingiziwa binafsi siwezi kuunga mkono ugaidi hata chembe moja, Magaidi wenzake mna haki ya kwenda kwa sababu hamna tofauti na m23 kwani hata wao wanaona wana haki pale wanapotekeleza malengo yao. Kwa mtu yeyote aliyeangalia ile video ya LWAKATARE na ambaye hana ushabiki wa kisiasa zaidi mwenye akili timamu hawezi kufuata mkumbo wa kishabiki na kumuunga mkono LWAKATARE eti kwa sababu tu alikuwa anatekeleza majukumu ya chama.
ukienda utapewa talaka na mabwana zako wezi na majangili. Utakosa uhondo ehh!! jina la kiume mawazo ya ki-sh-o-ga!
 
Achilia mbali kuwa video ile ilkuwa ya kweli kabisa , hata kama angekuwa amesingiziwa binafsi siwezi kuunga mkono ugaidi hata chembe moja, Magaidi wenzake mna haki ya kwenda kwa sababu hamna tofauti na m23 kwani hata wao wanaona wana haki pale wanapotekeleza malengo yao. Kwa mtu yeyote aliyeangalia ile video ya LWAKATARE na ambaye hana ushabiki wa kisiasa zaidi mwenye akili timamu hawezi kufuata mkumbo wa kishabiki na kumuunga mkono LWAKATARE eti kwa sababu tu alikuwa anatekeleza majukumu ya chama.


Video clip yako iko consistent sana hasa kwa sauti na maneno, na ile scene inakushawishi kwamba kulikuwa na mafunzo ya kigaidi? Hata kama hujawahi kufanya training yoyte, ni lazima ujiulize mantiki ya kuwa na darasa lisilokuwa na majadiliano. Flow of contents haikupi dira kama lilikuwa ni darasa la instructions za kazi mpya kwa mfanyakazi mzoefu ama ni orientation sessions za beginners.


Hao wanaoelekezwa kwa mfumo kama ni new entrants kwenye syndicate, hata nafasi ya kuuliza maswali hawapewi na hata kusema neno lolote la kuonyesha wako pamoja na trainer hakuna! Huyu trainer ni wa aina gani ambaye hata asitake kusikia feedback kutoka kwa darasa lake? La ajabu, hata kuficha hila tu ilishindikana kwa sababu hao wanafunzi wa ugaidi walikuwa wengi lakini inaonekana interest iko kwa instructor tu.

How can you be so sure kwamba hao waelekezwazi ni harmless na kwa kiwango gani? Mbona wavuta bangi wakikamatwa wanachukuliwagwa wote wavutaji na wauzaji wao?

Ujinga ujinga ujinga mwingi tu.!!

Honestly speaking am fade up of these ccm childish but stupid games!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kesho kinawataka wanachama wake kufurika Mahakama kuu katika kutoa uamuzi kuhusu kesi ya Lwakatare ambaye ni mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema.

Taarifa ya kutolewa hukumu hiyo imetolewa katika hali ya usiri mkubwa leo huku ikijulikana kiongozi wa jopo la Mawakili Tundu Lissu yupo Dodoma kwenye vikao vya bunge.

Watanzania wana hamu kubwa kujua hukumu itakuwaje.
 
Mahakama Kuu itatoa uamuzi wa kuifutilia mbali kesi hii na kumuacha huru Lwakatare ama kuamuru isikilizwe kesi namba 6 iliyofunguliwa mara ya kwanza kabla ya kukamatwa kwa mara ya pili na kufunguliwa mashtaka yale yale na watu wale wale kwa namna ile ile ya kihuni.
 
Back
Top Bottom