Hili sio suala la kilio bali presha toka ngazi mbalimbali katika jamii yetu. Wao lao ni kupima upepo. Kama una nguvu (kama ilivyo hoja hii ya sasa) basi huwa wanakubali kwa kisingizio cha kuridhia matakwa ya wananchi
huna tofauti na wale wanaochukia umeme ukikatwa na kushangilia unaporudishwa!
nahisi kama hiyo doc imekuwa forged. mbona signatory ni mmoja tu? alafu hakuna muhuri wowoteHii ni kwa mujibu wa ndugu Magori (DO DIRECTOR OF OPERATIONS) katika kipindi cha kipimajoto wakati anamalizia kuzungumza. Amesema kuwa fao la kujitoa, serikali haina tatizo. Inaweza kutoa wakati wowote na kwamba amewapanga mameneja wake tayari kwa kazi hiyo.
Ila ametoa angalizo: Kama huna mpango sahihi na hela hizo bora uziache. Ukiacha kazi, usichukue fedha zako bali tafuta nyingine na uendeleze kuweka akiba ili uje kufaidi pensheni.
Kiujumla kajitahidi kujitetea, ila lililokuwa likisubiriwa ni hiyo kauli yake ya mwisho.
----------
UPDATE - October 30, 2012
Ku-post haya maneno ni rahisi, tatizo ni lini mtatekeleza haya kwa vitendo ndio mbinde! Haya ni maajabu ktk nchi hii ya Wadanganyika!hii ndio point. tutayaporomosha hayo maghorofa
believe me not, hakuna kitu kimeniuma kama hiyo pesa ya NSSF, nilikuwa sielewi nitaisubirije eti mpaka nifikishe 60yrs! who ever spoke of that is mad nakwambia!
uko kama mimi!
nahisi kama hiyo doc imekuwa forged. mbona signatory ni mmoja tu? alafu hakuna muhuri wowote
wamefuta matamko ya ssra ya kuzuia fao la kujitoa, hawajafuta kifungu cha wizi kwenye sheria yenyewe, ina maana sheria iko pale pale!
Na hongera zaidi kwa mbunge wa kibaha kwa kuchukua hatua za haraka na kuwasilisha hoja binafsi bungeni,hoja ambayo imesaidia kufutwa kwa kifungu cha kukataza kuchukua mafao ukiacha kazi ....
Bado tuna imani na serikali hii sikivu ya ccm...
Na hongera zaidi kwa mbunge wa kibaha kwa kuchukua hatua za haraka na kuwasilisha hoja binafsi bungeni,hoja ambayo imesaidia kufutwa kwa kifungu cha kukataza kuchukua mafao ukiacha kazi ....
Bado tuna imani na serikali hii sikivu ya ccm...
Kama haujui jinsi bunge linavyoendeshwa si vibaya ukauliza,rais katoa tamko fao lirudishwe,ssra wametengua zuio lao,waziri ametoa kauli bungeni ya kuruhusu fao la kujitoa sasa wewe unataka wafute nini? Tuwapongeze tu kwa kusikiliza vilio vya wananchi.....
Na hongera zaidi kwa mbunge wa kibaha kwa kuchukua hatua za haraka na kuwasilisha hoja binafsi bungeni,hoja ambayo imesaidia kufutwa kwa kifungu cha kukataza kuchukua mafao ukiacha kazi ....
Bado tuna imani na serikali hii sikivu ya ccm...