Recent content by rangel

  1. R

    Msaada: Join instruction DAKAWA SECONDARY SCHOOL

    hivi ticha kasembe na madam kanuti sijui bado wapo pale... kitamboo
  2. R

    Shule gani inafaa Mbeya kwa A-level?

    shule nzuri mbeya nzima kwa sasa mi UWATA BOYS na HARRISON UWATA GIRLS.. kwa olevl na advance ni shule nzur na kisasa.. sio za zaman sana labda ndo maana watu hawajazitaja.. kw pitia matokeo yao utakubaliana na mimi. Hizo zingine zilikuwa nzur zaman kwa sasa ni uwata tuu
  3. R

    Form 4 leaver wa mwaka 2014 anatafuta kazi

    yaan hii michapio jaman... mara nying hua inapunguza uzito na concentration kabisaa.. Tujitahid kuwa makin..
  4. R

    TRA interview Leo diamond.

    je ni kweni....?!?
  5. R

    Nimepata pigo naomba ushauri

    wenzako tumemaliza chuo na umri mdogo. tunaishia kuzeeka mtaan.. Maisha hayana fomura we kazana upite njia sahihi...
  6. R

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    Duu dunian kuna mambo meng na magumu. kuna mida huwa na his et me ndo ninapitia katika hali ngumu kimaisha.. Mungu wangu kumbe kuna watu sijawafikia hata robo yao. Nimejifunza kitu kutoka kwako. Pole kwa yote.
  7. R

    Nahitaji ushuhuda kuhusu kufanikiwa kuongeza uume

    Hahahahaaaaa mkuu umenichekesha daaah...!!
  8. R

    Kukataliwa kunauma

    kukataliwa kuna uma kwel c uliona mchumipesa nae alivo weweseka kwa mtoto mzur teh teh... Ila dem atakuwa hajakuelewa yaan umekuwa tofaut na matarajio yake.
  9. R

    Nahisi mpenzi wangu ana govi

    hahaaaaa huu uz umenifuraisha.. daa ngoja nilale sasa
  10. R

    Naweza kuoa mwanamke aliyetalikiwa na rafiki yangu?

    hahaaaaaaa kama kwel lakin..!!
  11. R

    Selection Kidato 5 utata mtupu

    Hahahaaaaaaaaaa we unataka mabint zetu wakagegedwe nini.. u can't be serious.. Af wizara yenyewe et wamechimba bit hakutakuwa na nafas ya kubadilisha. poor them.
  12. R

    Uhamiaji vs JWTZ

    kwa hiyo elimu yake me nashaur aende jwtz. Kwa sababu uhamiaj wanaopata hizo deal za pasport na wahamiaj haram mara nying ni wale wasio na vyeo (form 4 & 6) sa ye na degree yake lazma atakuwa boss na uboss michongo inapungua tho sijajua mshahara ni kias gan. Asije jikuta anategemea mshahara tuu
Back
Top Bottom