Looool mwanamke anatakiwa akupende yeye usimtengenezee mazingira ya yeye kukupenda tena ikibid J-mosi mtokee ukiwa raf raf - Usijilize lize kwake kutafta sabab kama hakupend hakupendi tu USIJARIB KUMTAKA AKUHURUMIE utateseka mpaka ushangae - Wanawake wana mengi mwache aendelee na safari labda wewe automaticaly sio mwanaume alieko akilin mwake / ndoto zake hawa viumbe noma mno - Hakikisha humtegi itakucost
Mie ndio hapo nawaambiaga mapenzi ya kuigiza siyawezi! Ameshakuambia hakutaki then bado unapanga kukutana naye, for what?
1) Waweza kwenda sehemu mliyokubaliana na asije!
2) Anaweza akaja na still ukatumia gharama kwa kukuambia ndio na ukafurahi sana but hauwezi kuomba game siku hiyo hiyo na ukithubutu kujaribu jibu ni kwani haraka ya nini?
3) Baada ya kutoboka then kuachwa kuko palepale!
4) Ameshakataa, unapolazimisha waweza pata hifadhi ya muda but siku ukimkuta na ampendaye usirushe ngumi kwani vijana wadogo mna matatizo sana.
Hitimisho; mimi ni mfuasi sana wa wale wanaoniambia ukweli mapema kabisa kwani haiwezi kukupotezea muda kabisa, kuliko kufungishwa tera ndefu huku akakaa na wenzake story zote kwa kijana mwanaume mwingine sio wewe.
Punguza kuchat nae uone kama anamaanisha au laa! Asubuhi mpe hi then piga kimya, mchana hvyo hvyo. Jioni ufanye analysis amejibu ngap na kwa muda gani.
Boy:Hi baby at 8:30am
Girl:K au P at 1200 noon.
Boy:Mchana mwema at 1445 hrs
Girl:Thanx at 1756hrs.
Boy:Mbona unachelewa kureply?
Girl:Sina mb.
Muda huo wote ukimchek mara online mara typing hapo dogo pita KULEEEEEEE.
mwsho mkumbshe atafute hela kwa nguvu...na gari...nafkiri koloni lake litarudi.
Hahaha kwani binti Hakujua kama mshkaji hana ndinga? Me nahisi dada hajazielewa swagga za mshkaji. Anyway tusubirie wakikutana tena hiyo jmoc ndo atajua what went wrong
mrejesho ukirid...uwe wa 1 kuni julisha...!!! kwa style hii nakata tamaa na.mm yakuja vuta wife.
Mbona kama ulipendeza tu.......labda hizo raba zilikuwaje.....?.....isije kuwa zile ulimi nje.......au mkate boflo........unajua swala la viatu wadada tunaangalia sana.........
Lakini kwa maelezo yako.......nadhani ulipendeza........dada tu anataka kukuletea tashtiti......we kutana nae hiyo jumamosi.......halafu uje utuambie kasemaje.........
Usisahau kunitag........sawa eeeh.......
Kwanza napenda kuwashukuru sana wana jf wenzangu kwa ushauri wenu wote mlonipa!!Jambo nililolifanya ni
1)kumtumia msg kwamba"Japo moyo wake haujanipenda bado nitaendelea kumpenda" kipindi hichi nakichukulia kama kanipa mtihan kwangu!!sitawasiliana nae tena,namba na picha nimefuta ili kumsahau
2)Nimeona nisiende kuonana nae hio jmoc kwani ni kama kwenda kuongeza maumivu hakuna jipya atakalonambia na hata kama akikubali ni kwa kunionea huruma tu!!
3)Badala yake hio jmoc nitasafiri kuelekea dar ili niwe mbali kabisa na huu mkoa nikatulize kichwa changu kwan nikiendelea kuwepo maumivu yanazidi roho ka vile inaniambia nimfwate tena!!
4)Hata akinitafuta sitoonyesha kumjali kama nilivyokuwa namjali mwanzo
Ni hayo tu kwa akili yangu inavyonituma ni kama alikuwa akinizuga mda wote tukiwa twawasiliana kupitia whatsapp na msg basi nia yake ni kupata mtu wa kumpa kampan na ushauri tu wakat wote tukiwa pamoja
Teh teh ntaku-update. Aah Kila mtu atampata mwenzi wake kwa style yake. Wapo waliofanikiwa na hizi blond dates, na wengine zilifail. So relax, wako atakuja tu kwa njia yake
ahaaaaa..!!!
Umeguna au?
it jusj a sign....nina zawadi yako PM.